Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unai unai kaanza tena masihara kwa kupanga watoto wakati wakali wanakaa benchi pepe kanunuliwa kwa hela kubwa halafu yupo benchi dah!!!!
 
Hiyo ikuonyeshe mchezaji yeyote akitoka Chelsea ana namba ya kuaminika Arsenal. Maana Luiz tangu blunder alizofanya mechi ya Red Bull aliambiwa hatapata namba first eleven kutokana na weakness zake. Lakn naona mmempokea kama shujaa.
 
Hicho ndo ki nacho ni kera unamwekaje benchi chambers na moto wote ule aliuosha hauon unashusha hamasa ya mchezaj, ndo maana wanashukaga viwango
 
Hiyu kocha wenu vipi watu tunataka tuone combination ya Auba ,Lacazette, Pepe anaweka vitoto vyake.
 
Wilok & Nelson.

Hawa viumbe wanatakiwa watumie vyema nafasi wanayo pewa. Naamini hawato bweteka' wafate nyayo za Robb Holding
 
Hiyo ikuonyeshe mchezaji yeyote akitoka Chelsea ana namba ya kuaminika Arsenal. Maana Luiz tangu blunder alizofanya mechi ya Red Bull aliambiwa hatapata namba first eleven kutokana na weakness zake. Lakn naona mmempokea kama shujaa.
Kama Giroud vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…