Mkuu Aaron,
Hongera na shukrani sana kwa kutumia muda wako hapa JF kutupa mambo mazito ya mbolea.
Mimi nilikuwa nipo huko nyuma ya pazia na maskauti wengi tu nikijifunza namna dirisha la usajli linavyoendeshwa.
Nna malengo ya kuja kuwa Super agent.- 🙂
Next, Newcastl United.