Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Ceballos ni MTU na nusu

Wa moto haswa ttzo letu la msingi bado ni beki wa katiDah martinel mtoto anajua
Hivi jamaa tukitaka kumnunua permanent itawezekana?Ceballos anajua
Atatusaidia ,anakaa na mpira
Inawezekana , Rais wa Madrid alisema tutajadili hilo msimu ukiisha ,lakin ujio wa Don van beek ,na pogba kujipeleka pale , itafanya tumchukueHivi jamaa tukitaka kumnunua permanent itawezekana?
Imekuwa vzr kufungwa kwa goli kama LILE , tunatakiwa kupata beki kiongozWa moto haswa ttzo letu la msingi bado ni beki wa kati



