Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
BREAKING NEWS! Nahodha "boss" Laurent Koscielny akataa kwenda na timu Marekani.
Koscielny ambae ana umri wa miaka 33 ameshindwa kufikia muafaka katika kuongeza muda wa mkataba wake na Arsenal, timu aloichezea kwa miaka 9.
Arsenal wametoa taarifa rasmi katika tovuti yao ambayo inaeleza kwamba ,
“We are very disappointed by Laurent’s actions, which are against our clear instructions.
“We hope to resolve this matter and will not be providing any further comment at this time.” Mwisho wa taarifa.
Habari zaidi kufuata.
Wakuu kinani tena?
Kama amesema yeye ni shabiki wa Arsenal sawaMkuu mbona siku hizi umekuwa sio muelewa , kamsikilize de jong alichosema, yeye ndoto zake ilikuwa akitoka Ajax apite Arsenal , barca ingekuja mbeleni,
Ndio nimesema mchezaji kama huyu akifel barca kama walivyo kina Sanchez bas mguu wakwanza atakuja arsenal ,
Wachezaji wenye talent tumewapandisha now,
Amesema ndoto zake ilikuwa akitoka Ajax acheze Arsenal kabla ya barca , na ameiita OVERMAC ROUTE ,Kama amesema yeye ni shabiki wa Arsenal sawa
Saliba to Arsenal done
5 year deal agreed
New deal was put on the table this week which totals €30m but first full instalment will be paid when he arrives next year.
Signing number 2 in the bag and the budget still has hardly been touched.
Onto Tierney and Zaha nowhttps://t.co/TkGEMaYkEm
William Saliba: Tottenham in talks for Saint-Etienne defender
Tottenham are in talks with Saint-Etienne over the signing of defender William Saliba, according to Sky sources.www.skysports.com
Kuna mtu kawaandikia deal la Saliba lishakua confirmed na ame sign miaka 5. Hii habari imeandikwa leo nyie wote bado mnamgombania huyo dogo ambapo kama atasign mkataba wowote basi atabaki kwa mkopo wa msimu mzima Saint Etienne. View attachment 1152553
#AFC have agreed a payment structure with Saint-Etienne, which involved paying most of the fee for Saliba next summer. But Spurs have told #ASSE they are willing to offer a bigger slice of the fee up front and they too are willing to send him back on loan [via @pbsportswriter]Mkuu hizi taarifa zako unazitoa wap? Its not done yet man. Tot have interred the chat group.
Huyo dogo arsenal tulishamalizana nae, tot wanaleta ujuaji wameenda kuvuruga, Sasa kilichobaki ni Dogo anatakiwa achague mwenyewe kati ya Arsenal au Tot ,William Saliba: Tottenham in talks for Saint-Etienne defender
Tottenham are in talks with Saint-Etienne over the signing of defender William Saliba, according to Sky sources.www.skysports.com
Kuna mtu kawaandikia deal la Saliba lishakua confirmed na ame sign miaka 5. Hii habari imeandikwa leo nyie wote bado mnamgombania huyo dogo ambapo kama atasign mkataba wowote basi atabaki kwa mkopo wa msimu mzima Saint Etienne. View attachment 1152553