kocha alikuwa na wachezaji wasiojua makombe wakati Chelsea wana wachezaji wanaojua makombe ila kocha hajui kombe kwakua football inachezwa na wachezaji bora kocha mbaya wachezaji wazuri fainali hawakuangushi
kocha alikuwa na wachezaji wasiojua makombe wakati Chelsea wana wachezaji wanaojua makombe ila kocha hajui kombe kwakua football inachezwa na wachezaji bora kocha mbaya wachezaji wazuri fainali hawakuangushi
Arsenal tuna gundu Ulaya.. Wiki iliyopita niliota tumefungwa goli 6,ndoto inaweza kutimia. Na wiki itazidi kuwa mbaya Sababu Spurs watawafunga Liverpool 2-1.