Mkuu huyo kacheza miaka kumi hapo, hebu niambie achievement yake moja kubwa.MOTM v Tottenham
MOTM v Man United
MOTM v Rennes
Hakika Tutakukumbuka Spring Doctor, Aaron Ramsey
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hebu turud kwanza kule jukwaa lenu.Mkuu huyo kacheza miaka kumi hapo, hebu niambie achievement yake moja kubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Auba pamoja na kufunga brace lakini hajawa na makali ya kuwezesha timu kuchukua Europa, lazima ajisahihishe anakosa magoli mengi. Jana niliangalia mechi iliyotangulia ilionesha jinsi Giroud wa Chelsea alipokuwa anapata hatrick yake ya away huko Kiev, anaonesha ana vitu fulani ambavyo Auba lazima avitafute kama,
Kwanza, ni clinical finishing and agility, muda wote mshambuliaji anatakiwa ajue goli lilipo na awe tayari kupokea mpira na kuutendea haki, sasa jana mipira inamkuta kama hayuko alert ndio anaishia kukosa magoli. Hata upigaji wake wa penalty nina mashaka nao kidogo, ila ngoja apige nyingine ndio itajulikana vizuri.
Pili, uwezo wa kukaba timu ikiwa inashambuliwa
Tatu, physical presence threat especially in 50-50 balls to false defenders mistake, ingawa hii ni ngumu kwa kuwa mwili wa Auba ni mdogo
Nne, winning aerial duels, being used as wall to bounce balls when attacking at numerical disadvantage.
Tano, with regard to his experience, was that mask necessary to draw a yellow card while heading to the quarter final not just a league? Jana Giroud pamoja na kupata hatrick lakini sijamuona akivua fulana ambayo ingempelekea apate yellow card.
Unajua nikimuangalia Auba na ile jezi yake no. 14 namkumbuka Thiery Henry alikuwa akivaa hiyo no. Wanafanana kwa body shape and physique, pace and ball handling skills ukiacha kwamba wao wote ni francophone. Enzi zile Counter attack zilikuwa zinaanzia kkwa Viera akinyanyua kichwa ujue anafanya channel loading kwa Henry ambaye anaweza akamaliza kazi hata kama kwenye enemy half yupo peke yake. Leo hii long range passer ni Xhaka lakini hakuna matokeo kwenye direct counters zaidi ya zile zinazoanzishwa na wing backs. Hili ndio linanishawishi kabla Auba hajamtazama legendary Henry, aanze na Giroud ambaye anaheshimika sana pale Emirates mpaka sasa.Yan kuna vitu auba anatakiwa aige kwa giroud? Hatari hii mbona, auba ni bonge la striker lakin alipoteza form kimtindo miez hii miwili, usirudie tena huo ushaur ni sawa na kumwambia aguero ajifunze kwa dickson ambundo wa alliance
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona kichapo cha Jana bado kinakulevya,Walifurahia wakadhani NAPOLI ni underdog..
Huyu katoka UEFA kubwa sio wa uefa ya futuhi (alhamisi)
Kwenye ligi ni wa pili, chini ya Juventus.
Anakutana na timu ya alhamisi ambayo kwenye ligi nafasi hata ya nne bado ni tiamaji tiamaji.View attachment 1047400
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Sosha watafukuza tu.Upepo mbaya unavuma kwa majiran Chelsea na manyua
Hii ndio EPL ,
Nilipoiangalia ratiba kipind fulan ,wakati tupo nafas ya 6, nilisema kwa ratiba yetu hii, itafika kipind tutamuacha man u hadi point 8
Mech inayokuja tupo na Newcastle emirates wakat tot yupo na liver,nafas ya 3 uhakika
Man u yupo na Watford, na ameshavurugwa, huku man city na Chelsea wanamsubiri, sisi waleeeee
Hii ndio EPL , kuna wakat wa furaha na huzuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Nae ametukimbia mkuu!! Arsenal kuna tatizo.Monchi
"Arsenal has been the club that has shown the most interest in me but, in the end, I evaluated all of the offers I had on the table and I chose the one that convinced me most."
Read: Monchi says he rejected Arsenal interest for Sevilla 'project' Sky Sports Premier League on Twitter
Sent using Jamii Forums mobile app
Amechagua offer nono mkuu!...Nae ametukimbia mkuu!! Arsenal kuna tatizo.