Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sana sana, ila hili swala la ku-raise the game kwenye games fulani fulani tu, au kuwa hot and cold linatuchanganya wengine, sisi tukicheza na timu yoyote iwe moto chini na undava undava tu..tusichaguwe mechi au tukidhani the so called small teams tutashinda, its a mental issue pale, Gaffer Emery akiliwezea mbona mswano...
 
Mko wapi nyie MANURE?! Wamejificha kwenye manure kama kawaida yao wakipewa knuckles za uhakika...😀😀😀
C O Y G !
 
KESHO JOSH KREONKE WATAKUWA NA KIKAO NA UNAI EMERY ILI KUJUA TUNAIMARISHA VIP KIKOSI KATIKA DIRISHA LIJALO LA USAJIRI

Josh Kroenke and Unai Emery are set to meet tomorrow. His team just put together exactly the sort of performance that should convince the Arsenal ownership to seriously back their head coach in the transfer window.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Ass Anal bhana, kila siku huwa mnajipa moyo hivi hivi halafu mnaangukia pua

Nadhani katika makosa ambayo unayajutia kwenye maisha yako ni kuwa shabiki wa hawa ma losers a.k.a Arsenane

Hiyo namba 4 umewashikia United, katika timu ambazo haziwezi kuniumiza kichwa zikiwa mbele ya United ni Arsenane a.k.a ass anal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana umebakwa tulia

Na nafas ya 6 ndio inakuhusu

5 na 6 mtagawana wewe na Tottenham

Ila 6 inakufaa wewe

Man city anakuja kukubaka hapo hapo get on kwako,

Chelsea anakuja kuteleza tu ,

XHAKALACA BOOOMMMMMM

ENDELEA KUCHONGA TENA

Ohoo tunashinda sijui nini ,unajifanya mchambuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie Arsenal si ndio mna jukwaa la mashoga

Unapozungumzia kubakwa bakwa unanifanya nipate picha flani

Ujue kuna mashoga pia wanabaka kwa kulazimisha mti, kwa hiyo inawezekana Ass anal anabaka kwa mfumo

Kwenye geto la Ass anal Man Utd alikwishamlawiti 1-3 kwenye FA



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana umebakwa usijifanye kujibaraguza

Matokeo haya hapa Jana tu

2-0



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…