acha maneno mengi weka msimamo maana matokeo yenu tunayoKumbe hii ndio tiba.? Sasa kwa mtindo huu si nitakua na roho ndogo sana. Ndio maana mnakua masikini kwa sababu mkipigwa mnaenda kulala kumbe.
Sent using Jamii Forums mobile app
acha maneno mengi weka msimamo maana matokeo yenu tunayo
yaani hata nguvu za kuweka msimamo huna hahahahah wakati ulikuja na nyodo hapa juzi kuhusu mtaa wa sita,sasa MUNGU alivyokuwa fundi kakupeleka mtaa wa sita na goli sita hapo ulipo unajikakamua kutype usije ukapararaizi bure....kwakifupi wewe upo mtaa wa sita na goli sita juu....na vile vipigo heavy ulivyojinadi humu kuwa wewe huhusiki navyo sasa hivi wewe ndi konki konki konki wa vipigo heavyNisaidie kuniwekea msimamo.
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani hata nguvu za kuweka msimamo huna hahahahah wakati ulikuja na nyodo hapa juzi kuhusu mtaa wa sita,sasa MUNGU alivyokuwa fundi kakupeleka mtaa wa sita na goli sita hapo ulipo unajikakamua kutype usije ukapararaizi bure....kwakifupi wewe upo mtaa wa sita na goli sita juu....na vile vipigo heavy ulivyojinadi humu kuwa wewe huhusiki navyo sasa hivi wewe ndi konki konki konki wa vipigo heavy
JIKAZE WEWE
Hiyo ni kabla ya kodi ,baada ya kodi itashuka had 300000Ramseya kasign juve atalipwa £400,000 kwa wiki hivi kuna mchezaji anapata hela hiyo Arsenal?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ww uliwezaje au unajisahaulisha
Unaomba ushauri gani ungejua usingesogea karibu yetu maana wewe siyo saizi yetu. Timu zilizo saizi yetu uingereza ni liverpool, Manchester United na everton na Newcastle kwa mbali.Gunners wazee wa vipigo heavy. Naombeni ushauri wenu jamani, nimewafata nyie walau mna experience kuntu ya vipigo heavy mlishakula 5, nikawapa 6 bado mkaja mkala 8. So kwa background hiyo nyie ni wazoefu wa vipigo heavy. Hivyo nimekuja kuomba ushauri wenu hivi mliwezaje kukabiliana na hali hii. Naombeni msaada wazoefu kuntu mliobobea kwenye matokeo ya namna hii.
Natanguliza shukrani kwenu wazoefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una UEFA wewe.?Unaomba ushauri gani ungejua usingesogea karibu yetu maana wewe siyo saizi yetu. Timu zilizo saizi yetu uingereza ni liverpool, Manchester United na everton na Newcastle kwa mbali.
Wewe huna umaarufu wa uingereza ndiyo maana upo huku kuomba ushauri kwa wakubwa zako.
We are the GUNNERS forever.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pambana na hali yako, unakuja kujifarij huku,badala umtafute nduguyo Ollachuga Oc ,inasemekana kajinyonga
Pambana na hali yako, unakuja kujifarij huku,badala umtafute nduguyo Ollachuga Oc ,inasemekana kajinyonga View attachment 1020699
Sent using Jamii Forums mobile app
Pambana na hali yenu, ,mm najua kama...vipigo juz umekula 6-0 ,4-0
Unatunza hizi picha kwenye simu yako unataka kutumia kama wallpaperPambana na hali yenu, ,mm najua kama...vipigo juz umekula 6-0 ,4-0 View attachment 1020710
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenge wewe tuliaaa ushakula 6 kuwa mpoleUnatunza hizi picha kwenye simu yako unataka kutumia kama wallpaper
Sent using Jamii Forums mobile app