Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Juve mwenye uhakika na namba ni Ronaldo na golikipa ataenda kupambania namba kuongeza kikosi kipana
 
Kwa clip nilioiona ya Denis Suarez barca hawatakubal kumuuza uyu mtu
Ana mambo flan iv ambayo neymar alikua anayo na countinho, sasa yapo kwa mtu mmoja
Yan ana dribble mpira uku miguu ikipasiana, anaingia katikat ya mabek, anajaribu kushut nje ya box, penetrating pass yupo vyema na pia anakaba sasa barca wanamuuzaje uyu mtu
Mara ya mwisho barca alifanya hvyo kwa fabregas ambae kipaj chake hakikuonena ila uyu D.Suarez mimi binafsi ntakua wa mwisho kuamini

Barca wanamuhitah D.Suarez zaid ya arsenal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, barca wamekubali kumuuza, tena wamemwambia achague kubaki barca ambako hana namba kikos cha kwanza ,au aende kat ya arsenal au chelsea , yeye kapenda arsenal

Na Di marzio kasema arsenal wanaendelea kunegotiate ,

Nimeona taarifa nyingine, arsenal wanamtaka kwa mkopo wa had mwisho wa msimu, ila barca wanataka arsenal ije imnunue kwa £18m

Pale barca huwa mpaka uwe na consistency ya hali ya juu, unaona kinachomkuta coutinho , anakula bench , na dirisha la summer atahusishwa kusepa, the same na kina Sanchez,

Ili barca mchezaji awaweze inabid awe form kwa mech nyingi, mfano ni dembele



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Don Balon, who have a reputation of making sensationalist claims, report that Arsenal have had a £63million bid for James Rodriguez accepted.

#afc

Hawa Don Balon siwaamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah inasikitisha mby

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu kumekucha!

Usajili Arsenal: usajili wa Denis Suarez kukamilika ndani ya masaa 48


Denis Suarez


Arsenal inatarajia kukamilisha usajili wa mchezaji wa kiungo wa Barcelona Denis Suarez ndani ya masaa 48 bila kusita.

Usajili wa Suarez ni katika kuhakikisha Arsenal inawazidi kete timu za AC Milan na FC Roma ambazo nazo zinamfukuzia mchezaji huyo.

Denis aliwahi kuchezea timu ya Sevilla timu iliyowahi kufunzwa na kocha Unai Emery inaaminika anakuja Arsenal kuziba nafasi ya Aaron Ramsey ambae anakwenda kuchezea timu ya Juventus ya Italia.

Suarez ni zao la chuo cha mafunzo cha Manchester City au Academy ambako alikaa kwa miaka miwili akifunzwa mpira kabla ya kwenda Nou Camp ambako nafasi yake ya kucheza imekuwa haba.

Denis Suarez anaweza kucheza namba 10 kwenye mtindo wa 4-2-3-1 ambapo anaweza kuziba nafasi ya Mesut Ozil au Aaron Ramsey akiwa na Alex Iwobi na nyuma ya Aubameyang.

Suarez pia anaweza kucheza upande wa kushoto kama mshambuliaji wa pembeni akiwa na Ozil ambae anaweza kucheza namba 10 nyuma ya Aubameyang.

Unai Emery pia anaweza kumuagiza Suarez kucheza katikati Central Midfield ili kumsaidia Matteo Guendouzi ambae amekuwa akipita majukumu makubwa yanayomchosha khasa ukizingatia umri wake mdogo.

Hivyo kwenye mtindo wa 3-5-2 ambao Lacazette na Aubameyang wanakuwa mbele, Suarez anakuwa akicheza katikati kwenye mtindo wa "Diamond" akiwa na Granit Xhaka na Lucas Torreira.

Hatuwezi kusubiri kumuona Denis Suarez akiwa amevalia jezi ya Arsenal.

Denis Suarez anaweza kabisa kutukumbusha Denis Bergkamp enzi zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…