Ahsante mkuu,nawe piaHeri ya mwaka mpya 2019 kwenu mashabiki wenzangu wa Arsenal,Mungu awabariki sana katika mishe zenu awape afya njema na kila lililo jema....
Hii thread ni sehemu yangu pia nakutana na marafiki wapya ingawa hatufahamini ila tunaishi poa,mbarikiwe.
Nitakumis endapo utaondokaHabari za Usajili.
Aaron Ramsey anazungumza na timu tano za nje ya Uingereza.
View attachment 982566
Aaron Ramsey yupo huru kuzungumza na timu yoyote itakayota kumsajili kuanzia tarehe 1 mwezi huu wa January.
Mchezaji huyo wa kiungo wa Arsenal na timu ya taifa ya Wales anaruhusiwa kusaini mkataba mpya au kukubalia mkataba mpya kuanzia leo hii kabla ya mkataba wake naArsenal ahujamalizika mwezi Julai mwaka huu.
Ramsey yupo huru kuzungumza na timu za Bayern Munich, Inter Milan, Juventus, Paris St-Germain na Real Madrid.
Arsenal walimwekezea mezani Ramsey mapendekezo ya mkataba mpya wa miaka minne mwezi September mwaka jana, lakini badae wakaancha nao kutokana na sabau za kifedha na kimpira.
Kocha wa Arsenal Unai Emery alitaka amtumie Ramsey katika uundaji wa timu mpya lakini hali hiyo imekuwa ngumu kwa Ramsey kutoweza kufuata mpango huo mpya wa Emery na pia Arsenal kutopenda kugharamia mikataba yenye gharama kubwa kwa wachezaji ambao ufanisi wao uwanjani hauridhishi,.
Ikakumbukwa kuwa wakti wa usaili kocha Emery alikuja na taarifa za kila mchezaji wa Arsenal taarifa ambayo ilijaa vigezo vyite ambavyo wachezaji wanatakiwa kufuata.
Hadi sasa wachezaji Mesut Ozil na Aaron Ramsey viwango vyao vya uchezaji na ufanisi bado havijaweza kumashawishi kocha Emery kuendela kuwatumia uwanjani.
Juventus ya Italia imempa offer Ramsey ya mkataba wa miaka minne wenye mshahara wa wastani wa pauni milioni 5.8 kwa mwaka, ambapo kama akicheza nusu ya mechi zote basi atapewa mshahara wa pauni milioni 6.3.
Endapo atacheza asilimia 70 ya mechi za timu hiyo na kuweza kuwa mmja wa wachezaji waandamizi Ramsey atalipwa mshahara wa pauni milioni 7 kwa mwaka sawa na pauni 138,000 kwa wiki.
Ramsey tayari amezungumza na PSG ambao wanataka kubadilishana na Arsenal mchezaji wa kiungo Adrien Rabiot lakini Ramsey anapendelea kwenda timu ya Juventus.
Mwaka mpya, arsenal mpya weka mzigo wako mkuu leo hatoki mtu bila H3plus mkuuMashabiki wa arsenal Heri ya mwaka mpya. Em niambieni kama leo mnashinda au lah mana nataka nibeti sasa nyie ndy siwaamini saiv . Nithibitishien kama mnashinda msije ondoka na hela yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Atuondolee na lichtstneiner amechoka yule mzee asije fia uwanjaniHabari za Usajili.
Aaron Ramsey anazungumza na timu tano za nje ya Uingereza.
View attachment 982566
Aaron Ramsey yupo huru kuzungumza na timu yoyote itakayota kumsajili kuanzia tarehe 1 mwezi huu wa January.
Mchezaji huyo wa kiungo wa Arsenal na timu ya taifa ya Wales anaruhusiwa kusaini mkataba mpya au kukubalia mkataba mpya kuanzia leo hii kabla ya mkataba wake naArsenal ahujamalizika mwezi Julai mwaka huu.
Ramsey yupo huru kuzungumza na timu za Bayern Munich, Inter Milan, Juventus, Paris St-Germain na Real Madrid.
Arsenal walimwekezea mezani Ramsey mapendekezo ya mkataba mpya wa miaka minne mwezi September mwaka jana, lakini badae wakaancha nao kutokana na sabau za kifedha na kimpira.
Kocha wa Arsenal Unai Emery alitaka amtumie Ramsey katika uundaji wa timu mpya lakini hali hiyo imekuwa ngumu kwa Ramsey kutoweza kufuata mpango huo mpya wa Emery na pia Arsenal kutopenda kugharamia mikataba yenye gharama kubwa kwa wachezaji ambao ufanisi wao uwanjani hauridhishi,.
Ikakumbukwa kuwa wakti wa usaili kocha Emery alikuja na taarifa za kila mchezaji wa Arsenal taarifa ambayo ilijaa vigezo vyite ambavyo wachezaji wanatakiwa kufuata.
Hadi sasa wachezaji Mesut Ozil na Aaron Ramsey viwango vyao vya uchezaji na ufanisi bado havijaweza kumashawishi kocha Emery kuendela kuwatumia uwanjani.
Juventus ya Italia imempa offer Ramsey ya mkataba wa miaka minne wenye mshahara wa wastani wa pauni milioni 5.8 kwa mwaka, ambapo kama akicheza nusu ya mechi zote basi atapewa mshahara wa pauni milioni 6.3.
Endapo atacheza asilimia 70 ya mechi za timu hiyo na kuweza kuwa mmja wa wachezaji waandamizi Ramsey atalipwa mshahara wa pauni milioni 7 kwa mwaka sawa na pauni 138,000 kwa wiki.
Ramsey tayari amezungumza na PSG ambao wanataka kubadilishana na Arsenal mchezaji wa kiungo Adrien Rabiot lakini Ramsey anapendelea kwenda timu ya Juventus.
Sawa boss!! Ngoja nilipueMwaka mpya, arsenal mpya weka mzigo wako mkuu leo hatoki mtu bila H3plus mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Amina ,nawe piaHeri ya mwaka mpya 2019 kwenu mashabiki wenzangu wa Arsenal,Mungu awabariki sana katika mishe zenu awape afya njema na kila lililo jema....
Hii thread ni sehemu yangu pia nakutana na marafiki wapya ingawa hatufahamini ila tunaishi poa,mbarikiwe.
AmiinHeri ya mwaka mpya. Nawapongeza mashabiki wenzangu wote wa arsenal mliopo humu kuwa Mungu awaongoze ktk kuwa na amani na watu wote na kumuamini Mungu pekee aliyewaleta duniani.
Yaa GUNNERS forever. We are the GUNNERS forever.
Sent using Jamii Forums mobile app
Record nzuri sana hii.Mm nipo daily, toka juz nilisema ashukuriwe mike oliver
View attachment 982062
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kusahauSome bad Arsenal results against big teams in last 7 years :
Bayern 5-1 (thrice)
Liverpool 4-0
Liverpool 5-1
Chelsea 6-0
City 6-3
United 8-2
City 3-0 (twice)
Wenger failed to build a sustainable defence in over 10 years. Some unwilling to give Emery even 6 months. Sounds fair.
Wakati uku kwetu Africa tukiwa kwenye kutawaliwa kumbe wenzetu walikuwa wanakipiga tu?Naona Sasa Nawewe umekuwa Mzee Wa Historia
Si mulikuwa mulikuwa Munatuita sisi Ni wapenda historia?
Sasa unachofanya wewe Ni Nini hapa? 😀😀
Basi ngoja tujikumbushe historia hapa!
28 Oct 1893
Arsenal0 - 5 LiverpoolLeague
09 Feb 1907
Liverpool 4 - 0 ArsenalLeague
15 Feb 1908
Liverpool 4 - 1 ArsenalLeague
01 Jan 1910
Liverpool 5 - 1 ArsenalLeague
30 Dec 1911
Liverpool 4 - 1 ArsenalLeague
01 Feb 1913
Arsenal 1 - 4 Liverpool FA Cup
25 Feb 1922
Liverpool 4 - 0 ArsenalLeague
26 Aug 1922
Liverpool 5 - 2ArsenalLeague
17 Jan 1923
Arsenal 1 - 4 Liverpool FA Cup
23 Nov 1946
Liverpool 4 - 2 ArsenalLeague
18 Apr 1964
Liverpool 5 - 0 ArsenalLeague
11 Dec 1965
Liverpool 4 - 2 ArsenalLeague
1996 Wed 27 Nov
Liverpool 4 - 2 ArsenalLeague Cup
1998Wed 06 May
Liverpool 4 - 0 ArsenalLeague
2000 Sat 23 Dec
Liverpool 4 - 0 ArsenalLeague
2007Sat 31 Mar
Liverpool 4 - 1 ArsenalLeague
2008Tue 08 Apr
Liverpool 4 - 2 Arsenal Chmp.Lge.
2014 Sat 08 Feb
Liverpool 5 - 1 ArsenalLeague
2016Sun 14 Aug
Arsenal3 - 4 Liverpool League
2017Sun 27 Aug
Liverpool 4 - 0 ArsenalLeague
2018Sat 29 Dec
Liverpool 5 - 1 ArsenalLeague
Sasa hapo utafanya Evaluation mwenyewe ujue Ni Nani aliyechezea Vipigo Vikubwa Vingi zaidi.
Najua wewe umeshatufunga 8 na 6 wakati sisi hatujawahi kukufunga hizo!
Lakini kwa ujumla hizi 4 na 5 kukufunga tumeshakuzoea Mara nyingi zaidi.
Hata hivyo usijifariji kwa Matokeo ya Enzi za Ukoloni bali umia na vipigo vitakatifu vya miaka hii tuliyopo.