Ramsey overrated, labda inter tu uko kwingne hana namba uyu. Na akitoka arsenal atapotea kama alivyotea Sanchez na nasri
N swala la muda hili, kabla maandiko yangu kutimia
Club also willing to listen to offers for Elneny and Mkhitayan. Fornals in the mix as a replacement for the former. Emery also keen to get left back position sorted, as NM is getting old and he does not believe SD fits his system. #AFC
Arsenal are preparing up a bid worth up to 43 million for Nicolas Pepe(initial 27 mil + addons) with Emery and Mislintat seeing him as the solution to Arsenal’s winger problem. #AFC
Man u hamuwezi kuwa mbele ya arsenal katu. Arsenal siyo mbovu ss tunazo pointi 6 kutoka kwa Chelsea na toten sasa watasaliaje mbele yetu. Dirisha dogo tunarekebisha makosa tuliyoyaona tutarudi kivingine. Man ilishakufa muda hamtaki tu kuweka msiba kwa7bu mliwaaminisha watu kuwa ni mungu sasa kafa dadeki.
Mkuu bournemouth sio watu wazuri kabisa espicially wakiwa kwao leo unabanduka next match unabanduka pia na spurs af next man utd anakusubiri Guest house mbona utazaa triplets tuu mwaka huu