SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,444
Mzee inaelekea haya mambo hukuyategemea enh? It emerges as a surprise to you!Kizuri zaid kocha hana utani na hizi mech ndogo ndogo, ndio maana wameshangaa gafla walitangulia ,gafla tunawapumulia kwa point 2, huku tayar kocha kashapata Kiungo cha kueleweka, beki inazid kuimalika, mwisho watashangaa tuna strong team tunapambana nao ubingwa, naiman tukiuwasha huu moto had kwenye mech ya liva nov 3 , bas watatuheshimu, maana wenger mech kama hiz za unai alikuwa anapigwa
Sikuyategemea kivipi, wakati kocha anaonesha anahitaji nini, sio kama klopp mwaka wa 3 huu anakenua meno,Mzee inaelekea haya mambo hukuyategemea enh? It emerges as a surprise to you!
Ok, let's see the end mzee. Maneno mengi sana,Sikuyategemea kivipi, wakati kocha anaonesha anahitaji nini, sio kama klopp mwaka wa 3 huu anakenua meno,
Tatizo hamkutarajia ,mlidhan wenger kaacha timu mbovu,subirin soon mtaelewa kuwa tunautaka ubingwa sasaOk, let's see the end mzee. Maneno mengi sana,
Wewe ndo hukutarajia, maana baada ya kushinda umeanza kuzurura kwenye threads za other teams. Cool down brother.Tatizo hamkutarajia ,mlidhan wenger kaacha timu mbovu,subirin soon mtaelewa kuwa tunautaka ubingwa sasa
Wewe umefata nini huku,?Wewe ndo hukutarajia, maana baada ya kushinda umeanza kuzurura kwenye threads za other teams. Cool down brother.
Nimekufuata wewe uliyekuja kuvamia kwa Liverpool baada ya kumfunga Fulham na shit teams EuropaWewe umefata nini huku,?
Sijavamia nimekuja kukufundisha soka, maana yawezekana hulijuiNimekufuata wewe uliyekuja kuvamia kwa Liverpool baada ya kumfunga Fulham na shit teams Europa
Kumfundisha nani? Kwa mafanikio gani ulonayo?Sijavamia nimekuja kukufundisha soka, maana yawezekana hulijui
*KLOPP AT LIVERPOOL*Kumfundisha nani? Kwa mafanikio gani ulonayo?
Unaongelea mafanikio ya Klopp au ya klabu?*KLOPP AT LIVERPOOL*
3 years at Merseyside
Money spent = £672M
Trophies= 0
Hugs=18000
Total pressing = 21000
Touchline antics=3400
Unnecessary laughter= 4543
Toothpaste use=150
Spectacles broken=10
Toka 2011 mpaka leo umebeba nini?Unaongelea mafanikio ya Klopp au ya klabu?
Unaongelea mafanikio ya klabu ama kocha?? Leta mafanikio ya Arsenal na Liver hapa. So unaanza tokea ... tokea...Unaongelea mafanikio ya Klopp au ya klabu?
Hata kabla ya klopp bado mlikuwa na ukame, ,Unaongelea mafanikio ya klabu ama kocha?? Leta mafanikio ya Arsenal na Liver hapa. So unaanza tokea ... tokea...
Boss hiiIwapo umeangalia Mpira Kuanzia 2005 ndiyo utasema Maneno hayo..
Lakini Kabla Ya Hapo Arsenal ilikuwa ikikutana Na Liverpool kazi Yake Ni Kuokota Mipira Nyavuni tu.
Arsenal Ndiyo Timu Pekee Uengereza iliyofungwa na Liverpool Miaka 8 mfululizo tokea Kuanzishwa Kwa EPL mwaka 1992.
See below ↓↓:
View attachment 891005View attachment 891007View attachment 891010View attachment 891012
Kwahiyo Arsenal Kwa Liverpool ilikuja Kuibuka Kuanzia Mwaka 2005 kipindi cha Benitez alipokuwa akinyanyaswa na Wenger mpaka Kufikia Mwishoni Mwa Miaka ya 2010 tu.
Lakini Usijisifu Kuwa eti Liverpool iliwahi Kuwa Mteja Wa Arsenal...
Bali Arsenal ndiye mteja Wa Kudumu Wa Liverpool..
Ila hutokezea Kipindi tu ukawa unajikwamua na tukawa tunafungana.
Usikariri Miaka uliyoanza kuijua Arsenal.