Arsenal uingereza ilikuwa inasumbuliwa na Man Utd pekee. Kwa kocha ilikuwa mourinho ila kwa sasa mwiko umevunjwa.
Wenger alibugi kumchezesha Ox ile game ndiyo maana baadhi ya wachezaji waligundua mchezo mchafu mfano Sanchez.
Hadi sasa naamini arsenal wana kikosi kizuri kuliko timu zote bali matumizi tu .
HT
Arsenal 1-0 Brighton
Pamoja na kucheza vizuri 1st half ila tatizo la umaliziaji bado linatusumbua,tusipo score goli mapema 2nd half tunaweza jikuta tunapata matokeo mabovu.
Tunamuhitaji wilshere humu iwobi naona hana impact Sana nafasi nyingi tulizopata ni makosa waliyofanya hawa jamaa,tunahitaji wilshere kuongeza ubunifu ingiza Jack ramsey akacheze kwa iwobi
Tunamuhitaji wilshere humu iwobi naona hana impact Sana nafasi nyingi tulizopata ni makosa waliyofanya hawa jamaa,tunahitaji wilshere kuongeza ubunifu ingiza Jack ramsey akacheze kwa iwobi