Barca Baada ya Frank na Gadiola sio Barca tena wanatembea kwenye kivuli chao. Hata sisi tukiwa seriuos hasa Babu kwa namna ya kucheza kwa kuangalia mpinzani wetu Barca ana kufa mengi tu. Sema Babu mkorofi anaamini mbinu zake tu bazo hazifanyi kazi tena bila kujua mbinu za adui