Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna mtu nilimwambia humu feb hiyo nyakati za mashabiki wa arsenal kuanza kumbebea wenger mabango umefika akabweka sana
na mwez bado mbichi sana.
 
If you need to *** up arsenal just call hazard, he does the job gentle khe khe kheee
 
Mimi sioni sababu ya Gunners kupiga kelele hasa kwa Wenger, Arsenal wanajua kabisa miezi hii nafasi yao inapaswa kuwa hipi? Hivyo mnatakiwa kuhakikisha kuwa man haji hapo mlipo
 
Mimi sioni sababu ya Gunners kupiga kelele hasa kwa Wenger, Arsenal wanajua kabisa miezi hii nafasi yao inapaswa kuwa hipi? Hivyo mnatakiwa kuhakikisha kuwa man haji hapo mlipo
 
Haya rudini kwenye vitimu vyenu msiba umekwisha hapa.
 


Mohamed Elneny is back from African Cup .... ... ..



Granit kamaliza kifungo chake .... ...
 
wenger wiki hii atashinda ili mtulie!!mzee anawajulia mkiwa ktk panic kubwa huwa lazima anashinda
 
Kuna gazeti nimesoma kichwa cha habari Ozil amefukuzwa Arsenal. Kuna ukweli wowote katika hili au udaku tu at work
Majungu tu hayo, timu pinzani wanamwogopa. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…