Wameondoka wavuta bangi wawili(Flamini na Arteta) tumebaki na wahuni wawili(Xhaka na Coq) dakika yoyote wanachoma kibanda moto kheeeeee kheeeee Xhaka kachezea umeme mwenzie Coq kasababisha penati pamoja na wendawazimu nawapenda wachezaji wana namna hii.
ila leo hali yangu ilikua tete hawa Burnley hata mechi ya kwanza tuliwafunga dakika za nyongeza tena uyo Kos6 ndio aliwaua kama unakumbuka kutumbukiza kwa mikono.
Wameondoka wavuta bangi wawili(Flamini na Arteta) tumebaki na wahuni wawili(Xhaka na Coq) dakika yoyote wanachoma kibanda moto kheeeeee kheeeee Xhaka kachezea umeme mwenzie Coq kasababisha penati pamoja na wendawazimu nawapenda wachezaji wana namna hii.
ila leo hali yangu ilikua tete hawa Burnley hata mechi ya kwanza tuliwafunga dakika za nyongeza tena uyo Kos6 ndio aliwaua kama unakumbuka kutumbukiza kwa mikono.