Shukrani sana Mkuu. Tuna mechi nyingine muhimu kesho. Chelsea wanakipiga tena Jumatano na Spurs kama Spurs wataweza kuwasimamisha Chelsea nasi kushinda kesho basi tutapunguza gap kutoka 9 points to 6 points.
Yaani huko tunakoelekea watu tutabanana kama ndizi penye mgomba na huo ndio utakuwa utamu wa ligi kama Chelsea na tot matokeo yakiwa hivyo itaongeza ushindani .
Ushindani ukiwa mkali ndiyo inapendeza sana, siyo mshindi kujulikana miezi miwili kabla ya msimu kuisha. Kuna uwezekano ushindani kama utaongezeka baada ya Chelsea kutoa draw au kupoteza baadhi ya mechi zao na hivyo gap kati yao na waliokuwa nyuma yao kupungua, mshindi wa msimu huu kupatikana kwa tofauti ndogo sana ya points au goal differential. Chelsea wanajua umuhimu wa mechi ya Jumatano hivyo watajizatiti ili kujizolea points 3 nyingine dhidi ya Spurs, pia wanataka kutie rekodi ya Arsenal ya kushinda mechi 14 mfululizo. Hii mechi itakuwa tamusana.
Yaani huko tunakoelekea watu tutabanana kama ndizi penye mgomba na huo ndio utakuwa utamu wa ligi kama Chelsea na tot matokeo yakiwa hivyo itaongeza ushindani .