Unanikumbusha Leonard Mambotele mtangazaji wa KBC zamani kama wao wana Sunday sisi tuna Monday Luo Union vs Yanga Mombasa FAINAL Club Bingwa Africa Mashariki 1976
Ndiyo matatizo ya kufunga kagoli kamoja na kuamua kukalinda wakati bado kuna muda chungu nzima badala ya kutafuta nafasi zaidi ya kuongeza goli/magoli mengine.
Pia hatuna ile mentality ya kuzimaliza timu. Unapata goli moja unaamua kupark bus kusubiri dakika ziyoyome badala ya kupiga kandanda ili kuongeza gap na opponent wako. Poor gunners!
Tumepoteza mechi ya leo, wachezaji wengi hawakuwa up to the game, City walikuwa more aggresive na kusaidiwa zaidi na mwamuzi. Tutawasubiri wakija Emirates. It wasn't a good game for us. [HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]