Duh!Sipatii picha mnavyoyaporomosha huko...lol
Kuna siku nilienda Coco kucheki game ya Man U vs Real Madrid UEFA.
Daaaah mashabiki wa Man U wanatukana kinomaaa,hasira zilinikaba nilijikaza sana.
Kibao kilipoanza kugeuka (walipofungwa kimyaaaaa)
Lile goal alilofunga Cr7 hadi leo sisahau!Nilipanda juu ya kiti kushangilia