Alex Oxlade Chamberlain anashindwa kabisa kumiliki mchezo ni kwasababu hachezi mechi nyingi sana. Nafikiri mzee Wenger atakuwa amepanga kumuingiza Elneny kwenye nafasi ya Chamberlain baadae.
Dakika inakwenda ya 27
Kona kwa Arsenal
Campbell anapiga kona lakini inapotea.