Cuco Martina amefunga goli safi la kushtukiza na kumwacha Petr Cech akiwa hana la kufanya.
Ilikuwa ni baada ya Arsenal kuokoa mpira wa cross ulopigwa kuelekea langoni mwao.
Hivyo mpira ukamkuta Martina ambae kutoka umbali wa mita 30 akaachia shuti hilo.
Southampton wana wachezaji watatu wa kuwaangalia Victor Wanyama, Sadio Mane na Cuco Martina.
Dakika inakwenda ya 20