Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Half time sasa bado mabao ni 1-1..Tatizo Arsenala hatuna mshambuliaji mwenye nguvu anayeweza kujaribu kufunga hata kwa mbali,badala yake waliopo wanataka wasogee hadi karibu na goli ndio wafunge...Fabregas peke yake ndo anajaribu mara nyingi kufunga akiwa mbali mara anapopata nafasi..Huyu dogo Ramsey naona anarembaremba tu humu

Nammiss sana Van Persie,namuombea apone haraka mshambuliaji wetu wa ukweli huyu
 
mashuti ya mbali ni uamuzi tu wamchezaji mkuu,hawa wachezaji wetu ni wazembe wanaogopa kujaribu au ni Wenger kawakataza.nakumbuka Arshavin alivyokuja alikuwa mtu wa kujaribu sana vishuti vya mbali lakini siku hizi naona damu yake yote ishakuwa arsenal 100% kaenda kuwa kama alio wakuta.

rosicky alikuwa mtu wa kujaribu sana vishuti vya mbali lakini injury hizi zimemchanganya akili bado hajarudi kwenye form.
 
Ramsey naona bado hajakomaa nilitegemea Diaby angekuwa fit. Pengine Walcott atakuja maana anahitaji kwenda world cup hivyo anajituma zaidi. Lazima ngoma hii tushinde kuwa na matumaini.
 
ebwana hio challenge imenikumbusha eduardo .i hope haitakuwa worse kama hile lakini reaction ya wachezaji inatisha.
 
i hope wachezaji watacheza kwa moyo sitaki yatokee kama siku ya birmingham manake walikuwa affected sana siku hile.
 
.inaelekea ni injury mbaya sana, huzuni katika nyuso za wachezaji wote zinasema kitu! let's keep our fingers crossed!!
 
Hata replays bado hawataki kuonyesha I hope itakuwa ok. Huyu refa amekuwa anawaachia sana hawa Stoke. Maguvu tu na sio ujuzi wa soka.
 
Poor Ramsey......hata hiyo faulo sijaiona ila luks like ilkuwa mbaya sanaaa!
 
Naona hata game imepoa sana..hope AW will get excuse from that basis at the end of the season although ni sehemu ya mchezo. Poor young boy.
Hivi kikoc cha France dogo hana nafasi huyu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…