Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunataka nafasi ya 2 msimu huu...Leo tumekamilisha magoli 100 msimu huu michuano yote,Chelsea wamechukua ubingwa msimu huu na magoli 69 tu .This is our statement for the next season's title ambitions.#Ars10 unbeaten
 
Tunataka nafasi ya 2 msimu huu...Leo tumekamilisha magoli 100 msimu huu michuano yote,Chelsea wamechukua ubingwa msimu huu na magoli 69 tu .This is our statement for the next season's title ambitions.#Ars10 unbeaten

Doh! The most biased and baloney statement I have ever heard from soccer fan!

Yaani umeamua kuhesabu magoli ya goons kwenye michuano yote. Kisha ya rentboys ukahesabu ya kwenye EPL tu!!

Wazee wa #NextSeason mna vijimambo!!
 
Tunataka nafasi ya 2 msimu huu...Leo tumekamilisha magoli 100 msimu huu michuano yote,Chelsea wamechukua ubingwa msimu huu na magoli 69 tu .This is our statement for the next season's title ambitions.#Ars10 unbeaten

Nafasi ya 2 muhimu msimu huu. Nina uhakika katika mechi nne zilizosalia tutapata points za kutufikisha nafasi hiyo. Manchester City na United watapoteza points weekend ijayo.
 

Nilisahau Walcott pia kashatupia hat trick ndani ya jezi ya Arsenal. Kwa hiyo current wachezaji wanaofukuzia hat trick ni Giroud, Sanchez, Ramsey( hawa wote wameshapiga braces) Ozil etc
 
Reactions: BAK
polem kwa presha sie tushaliza kazi tunamsubir liverpool tumpe point 3 za bure
 
Doh! The most biased and baloney statement I have ever heard from soccer fan!

Yaani umeamua kuhesabu magoli ya goons kwenye michuano yote. Kisha ya rentboys ukahesabu ya kwenye EPL tu!!

Wazee wa #NextSeason mna vijimambo!!

Teh teh teh.. pole mkuu Nzi ,naona chama lako linasua sua tu
 
Last edited by a moderator:
Tunataka nafasi ya 2 msimu huu...Leo tumekamilisha magoli 100 msimu huu michuano yote,Chelsea wamechukua ubingwa msimu huu na magoli 69 tu .This is our statement for the next season's title ambitions.#Ars10 unbeaten

Wazee wa Next Season katika ubora wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…