Mtani kesho sijui nikae kushoto au kulia??
Mkuu kesho naiwe 0-0, 1-1, 2-2, 3-3,... Katika hali hiyo basi hutakiwi kuwa upande wa everlenk. Usifungamane mkuu...
Mkuu Eli79 mshindi wa kwanza ni kati ya sisi au chelsea. Man city na united ni 3 na 4 so usiwe na wasiwasi mkuu
Mimi hata siongei tena mchana nimeongea mengi sana kule Chelsea,masaa yamebaki machache mtanange mtaushuhudia kwa macho yenu........
Okay...ila kaa ukijua, 'movie kuisha si lazima maandishi yapande...'
Endelea kurukaruka but kumbuka una point zangu 3
Vipi nilifikiri unaongelea mtanange wa kesho na Mancs kumbe ni wivu tu!, Chacha maua utaleta lini?
Umenza kuongopa? City kesho anakuja kwa hasira zote!
Ntaleta ukichukua EPL Cup jitahidin mumtoe Chelsea bana.....Lol
Ai aje tu atatulizwa na mabao 3-1!!!
Ntaleta ukichukua EPL Cup jitahidin mumtoe Chelsea bana.....Lol
Usijali hao wauza unga dawa yao hii hapa chini .... ... .... . vijana wanawachubiri utasikia vilio vyao ati kuna campaign kwenye media Phew!
Chelsea vs QPR, Chelsea wins: 73pts. Arsenal vs Burnley, Arsenal wins: 66pts.
Chelsea vs Man utd, Man utd wins: 73pts. Arsenal wouldn't play bcoz of the FA Cup semi: 66pts.
Chelsea vs Arsenal: Arsenal wins, Chelsea 73pts, Arsenal 69pts. Chelsea vs Leicester, game in hand ends in a draw for Chelsea: 74pts.
Chelsea vs Crystal Palace, Chelsea wins: 77pts. Arsenal vs Hull city, Arsenal wins: 72pts.
Chelsea vs Liverpool, Chelsea lose: 77pts. Arsenal vs Swansea, Arsenal wins: 75pts.
Chelsea vs West Brom, Chelsea wins: 80pts. Arsenal vs Man utd, Arsenal wins: 78pts. Arsenal vs Sunderland, Arsenal wins their game in hand, goes top with 81pts.
Final day Chelsea vs Sunderland, Chelsea wins: 83pts. Arsenal vs West Brom, Arsenal wins: 84pts.
FINAL TABLE standings Arsenal (champs) 84pts Chelsea 83 points
Chelsea vs QPR, Chelsea wins: 73pts. Arsenal vs Burnley, Arsenal wins: 66pts.
Chelsea vs Man utd, Man utd wins: 73pts. Arsenal wouldn't play bcoz of the FA Cup semi: 66pts.
Chelsea vs Arsenal: Arsenal wins, Chelsea 73pts, Arsenal 69pts. Chelsea vs Leicester, game in hand ends in a draw for Chelsea: 74pts.
Chelsea vs Crystal Palace, Chelsea wins: 77pts. Arsenal vs Hull city, Arsenal wins: 72pts.
Chelsea vs Liverpool, Chelsea lose: 77pts. Arsenal vs Swansea, Arsenal wins: 75pts.
Chelsea vs West Brom, Chelsea wins: 80pts. Arsenal vs Man utd, Arsenal wins: 78pts. Arsenal vs Sunderland, Arsenal wins their game in hand, goes top with 81pts.
Final day Chelsea vs Sunderland, Chelsea wins: 83pts. Arsenal vs West Brom, Arsenal wins: 84pts.
FINAL TABLE standings Arsenal (champs) 84pts Chelsea 83 points
Wake up....wake up bro...its morning already!
Duh ama kweli wahenga hawakukosea waliposema, "if wishes were horses even beggars would ride..."
Leo hii mpya una ndoto za Chelsea kufungwa na Arsenal Man utd na Liver? My friend ni rahisi sana QPR kumfunga Chelsea kuliko Arsenal kudraw na Chelsea.
Be realistic na uridhike na namba mbili. Kazania FA don't go overboard sir! #utachekwaaaaaa
Hatutabeba kombe la EPL lakini tutamaliza ligi vizuri kuliko miaka iliyopita. Tunachotakiwa ni kuendeleza/kujenga tutakapoishia ili mwakani tuweze kulibeba. Safari hii tunapesa hivyo hakuna uwezekano wa kupoteza wachezaji wetu muhimu kama ilivyotokea awali.
Chelsea vs QPR, Chelsea wins: 73pts. Arsenal vs Burnley, Arsenal wins: 66pts.
Chelsea vs Man utd, Man utd wins: 73pts. Arsenal wouldn't play bcoz of the FA Cup semi: 66pts.
Chelsea vs Arsenal: Arsenal wins, Chelsea 73pts, Arsenal 69pts. Chelsea vs Leicester, game in hand ends in a draw for Chelsea: 74pts.
Chelsea vs Crystal Palace, Chelsea wins: 77pts. Arsenal vs Hull city, Arsenal wins: 72pts.
Chelsea vs Liverpool, Chelsea lose: 77pts. Arsenal vs Swansea, Arsenal wins: 75pts.
Chelsea vs West Brom, Chelsea wins: 80pts. Arsenal vs Man utd, Arsenal wins: 78pts. Arsenal vs Sunderland, Arsenal wins their game in hand, goes top with 81pts.
Final day Chelsea vs Sunderland, Chelsea wins: 83pts. Arsenal vs West Brom, Arsenal wins: 84pts.
FINAL TABLE standings Arsenal (champs) 84pts Chelsea 83 points