Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Wanaotafuta jinsia wapo kwenye jukwaa la mapenzi khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Serious nisaidie jinsia yako mkuu nisije nikaja PM unakaona kama nimeamua kukuvunjia heshima wakati namaanisha, kaka BAK si uliona uzi wangu pale Love connect
 
Last edited by a moderator:


Nipo hewani, nakuona ila maneno makaliiiii!

Naahidi kuingia rasmi msimu ujao tukijaaliwa uhai, sasa hivi najenga timu kwanza. Si unaona watoto watupu!

Ila safari hii nimekupata, pole!
 
Wakuu Wacha1, Salamander na kalou basi yaishe this is just a game, it's time to move on. Tugange yajayo.

BAK hao Chelsick walichezea kichapo halafu wanajitia kuja kono mbele hawana lolote na Moureen ikifika May kibarua kinaota mbawa. Huyo Cowshed aka kalou kabadili majina chacha naye ati anakuja kona mbele what a loser. Gunners taifa kubwa watachema usiku watalala chichi ndio klabu pekee tunaotetea kombe ndani ya London wengine wote hawana kitu ukifungua makabati yao unakutana na mende. Phew! wakisikia Gunners wanaanza kuwewesekaweweseka tu.
 
Reactions: BAK

Wewe jamaa ni zaidi ya aliyekuwa waziri wa habari wa Sadam Hussein, bwana Muhammad Saeed al-Sahhaf a.k.a Comical Ali au Baghdad Bob!
 

Jinsia yako kabla sijaja PM?
 
Welbeck angeanza na Ozil kuwa bench mstari wa mashambulizi ungekuwa bomba sana. 1-0 Arsenal Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…