Acha kabisa dakika za mwisho ni nzuri sana na ni mbaya sana,zikutumiwa vizuri huleta matokeo mazuri maana timu zote zinakuwa kwenye tension kubwa,dah unanikumbusha machungu ya Argentina kukosa Ndoo kwenye world cup dakika za mwisho zikabadilisha mambo.
Arsenal walishinda baada ya S'pton kufanya substutions tatu, so yule beki wao alivyoumia na kutoka wakawa wanacheza pungufu na Wajukuu wa Wenger wakafungia hapo.
We have seen the worst of Man Utd lakini huweziamini they are on top of Arsenal.
Hawakutegemewa kabisa kuwepo kwenye nafasi hiyo hasa baada ya kutowasajili wachezaji wao wazuri wa msimu uliopita. I hope they'll be able to maintain the same pace for the remainder of this season.
Wojciech na Mathieu Debuchy walikuwepo Colney leo kwenye mazoezi .. ... .. ... . were're going to be back in business very soon .. ... ... ... .COYG. Baada ya Stoke vijana watatimka na kwenda kwenye CL na Galatasaray . .. .
Wakuu wa Gunners tupo kuwaona hawa Stoke .. .... .. Martinez anaendelea kushika namba golini na 19 year old ndani ya dimba .. .. ... ... bring them on COYG