Arsenal (The Gunners) | Special Thread

nimeshangaa timu kubwa wachezaji wakubwa imekwaje,noma
 
Si mlikuwa mnadai Chembaz ni bonge la beki?!? Na Flamini ni kisiki?!? Imekuwaje sasa?

Tatizo ni kocha arifu..timueni huyo Aseni Chenga...

Mkuu tatizo kocha wetu kilaza hakuna mfano, sasa nakubali maneno ya kocha wa chesea,

Asene wenger is a faluire specialist.

Jamaa akikaa kwenye kochi anakuwa matazamaji hana msaada wowote kusoma mapungufu ya timu na kurekebisha
 
Arsenal walishindwa kabisa kuikaba ile 11 ya swansea maana kila mpira alioupata lazima alifanikiwa kuiingiza ndani mmh poleni ndugu zangu ila msimtukane mamba kabla hamjavuka mto nakumbuka awa walimpiga MU na tuliwacheka kweli MU sasa leo cjui tujicheke cc wenyewe maana ata 1st half refa alituonea huruma penat ya wazi ile
 
mfarisayo kafurahi Gunners wamepoteza gemu ugenini, mbona hao Swans waliwafunga Manure Old Trashford. Tumepoteza game tunasubiri next game hatuwezi kushinda kila mechi.
 
Kati ya makocha wapuuzi huyu nimmoja wao, kila wakati anafungisha, hawezifanya mabadriko kwa wakati muafaka na

nimbaguzi kwanini camble hampangi ilhali ni mtu muhimu sana...... Asernal tunachokeshana tu.
Kocha anaitwa Arsenal
matokeo lazima yawe Arsenal
 
Leo naona jukwaa lote lako...wewe subiri tu next week nakuoa pia....

Hana lolote huyo ameanza kushabikia timu alipojiunga JF kabla ya hapo alikuwa hoehae. Tajiri akifa na timu anayoshabikia inakufa.
 
Pole mkuu,kila mkifungwa hiki kisingizio ndio unakumbuka

Ligi haiishi November wewe umefufuka? khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…