Dah! Mnavyotia huruma, hata kuwacheka siwezi.
Heri ya United tunajua shida yetu ni nini, kuliko goons wanaojiona wapo kamili kumbe shida ni Aseni Chenga.
Fukuzeni kocha huyo, kaishiwa.
Na tutakapokuja Imarate kuwakalisha ndiyo mtaipata fresh.
#WengerOut