Kiswahili kinabadilika bhanaaa kuoa na kuwowa vina maana mbili tofauti, miaka michache iliyopita hatukuwa na neno ukarabati hivyo kuwowa pia neno la Kiswahili hata kama halijaingizwa rasmi kwenye kamusi.
Kiswahili kinabadilika bhanaaa kuoa na kuwowa vina maana mbili tofauti, miaka michache iliyopita hatukuwa na neno ukarabati hivyo kuwowa pia neno la Kiswahili hata kama halijaingizwa rasmi kwenye kamusi.