Wakuu hii mechi sitaki kuiona hadi mwisho isije ikaniumiza sana hadi nikakosa usingizi. Nitasubiri matokeo, but Mars 1- Dort 1 tukae tukilielewa hilo!!!!
Yaonesha Benitez kawafundisha wacheze mpira wa nguvu na wa rafu...bt hazitawasaidia....kwani wanahitaji 3 goals nil...na nusu saa ya mchezo umeshapita...wenzetu kule Dotmund 1-1....masele hataki dharau