Tatizo la mashabiki wengi wanataka Arsenal ifungwe badala ya kuangalia timu zao zinazofanya vibaya walekebishe matatizo ya timu zao na kuyajadili wao Issue ni Arsenal itafungwa lini,sasa leo hata arsenal ikifungwa ndio itashuka nafasi ya pili kwenye PL ? Kwa mechi za Dortimund dhidi ya Arsenal kwa miaka ya hivi karibuni naona Arsenal wapo juu sasa mashabiki wanaotaka tufungwe watalajie yaliyowapata Napoli ya Italy
Ramsey atakua anafeel guilty saana kwa ile mistake. But its part n parcel of the game. For the moment tunadominate game vizuri saaana. At least mipira inafika kwenya lango pinzani. Ozil kakamatwa mbaya....
Ramsey atakua anafeel guilty saana kwa ile mistake. But its part n parcel of the game. For the moment tunadominate game vizuri saaana. At least mipira inafika kwenya lango pinzani. Ozil kakamatwa mbaya....