Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni kama tulikuwa tunacheza 10 uwanjani kwa dk 70 za mpira. Sikuona alichokuwa akifanya Podolski uwanjani. Bora Giroud huwa anaifanya timu mbele ikae na mipira.

Sikuona pia sababu ya babu kumtoa Rosicky na kumuingiza Wislsher. Rosicky alikuwa akiunganisha vizuri beki na foward line na alikuwa akikaba. Baada ya kuingia Wilsher Arsenal wakapoteana kabisa. Ukiangalia kwa game za karibuni wilsher kiwango kimeisha kabisa.

Any way, hii ndio timu yetu. A gunner forever!
 

Sijui lini Arsenal watafanyiwa hivi na Man United!?! Wapi Wacha1
 

Attachments

  • afc3b045e3705a0b75ad88ed9a13bb8d.jpg
    44.4 KB · Views: 43
  • 9f7f24fdd199f2c4da6ae8956e1d7870.jpg
    51.7 KB · Views: 41
  • 2d6ad5d50b7e333b37eb91923db65225.jpg
    59.5 KB · Views: 50
Last edited by a moderator:
Umesahau kuwa tulishawahi kulichukulia kombe nyumbani kwenu? At Oldtrshford?

Chifu, swali langu liliuliza, sijui Arsenal watafanyiwa lini hiyo 'guard of honour' na Man United?

Sasa hayo ya kuchukua ubingwa OT mwaka 2001 kwa goli la Wiltord yametokea wapi?

Lini Arsenal watapewa 'guard of honour' na Man United?
 
No champions league Arsenal next season. Time to really strengthern our team not the Manchesters'
 


  • [*=center]



Wazee wa kubebwa kama kawaida yao .... ..... .... .... tutapambana nao tu ....
Vijana wamekaa uzuri washukuru tu
Giroud kufungiwa COYG




WAL BANGER ... Theo hits a cracking opener




THEO GRAND ... Rosiky hails scorer Walcott


Manure habari yao kwisha wanapanga kununua shoga lipi chijui baulize benyewe .... ... khe khe kh ekhe kheeeeeeeeeeeee
 
Chifu, swali langu liliuliza, sijui Arsenal watafanyiwa lini hiyo 'guard of honour' na Man United?

Sasa hayo ya kuchukua ubingwa OT mwaka 2001 kwa goli la Wiltord yametokea wapi?

Lini Arsenal watapewa 'guard of honour' na Man United?

Walishafanyiwa mbele ya FERGIE mwaka 1991 kocha akiwa George Graham japo hukuwa umezaliwa
 
Tunamlaumu Sagna bure upande wake alikuwa anawakaba Luis Nani+Evra na tunajua wazi walcott si mchezaji wa kukaba...mzigo ukamhelemea...Labda tutizame upande wa Manure wao Full backs zao zilikuwa zinasaidiwa na mawinga wakabaji na wenye kasi Nani na Valencia...simple tactics

kama AW angempanga Kulia Chambelain, Walcott kati pale na kushoto Cazorla, Sagna asingekuwa Exposed hivyo kwani OX anakaba sana

Kwa kweli tunaitaji Tough tackling DM na mshambuliaji aliekamilika "Fox in the Box"
 
Walishafanyiwa mbele ya FERGIE mwaka 1991 kocha akiwa George Graham japo hukuwa umezaliwa

Nilijua tu kuna mtu atakuja na stori za ligi daraja la kwanza. Mwaka 1991, ilikuwa ni ligi daraja la kwanza. EPL ilianza 1992.

Anyway, swali langu bado lipo pale pale, ni lini Arsenal WATAPEWA a guard of honour na Man United?

Sijauliza ni lini Arsenal WALIPEWA a guard of honour na Man United.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…