Wenger anazeeka vibaya sababu ya kuwapanga mwishoni wakina walcot nini?au ndo kujifanya hana fast eleven.kweli anatafutia mashabiki na wachezaji presha
Wenger anazeeka vibaya sababu ya kuwapanga mwishoni wakina walcot nini?au ndo kujifanya hana fast eleven.kweli anatafutia mashabiki na wachezaji presha
Ila iyo presha hata yeye ameipata.itakuwa fundisho kwa mechi nyingine mahesabu wa2 wanataka mapema.hongera the vijana.du kweli hii rekodi ya kupatia ushindi kipindi cha lala salama imekuwa kawaida