Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Khe khe khe...naona bahasha za Profesa Wenger zimeanza kufanya kazi... Khe khe khe!!
 
ngoja tusubiri maji yapande mlima!by the way ni timu pekee ya uingereza ambayo bado imo ha ha ha ha!!
 
Arsenal wakipita hii raundi, naacha kuishabikia Manchester United, nakuwa shabiki wa Arsenal.
sipendi kukupoteza katika chama langu hivyo inabidi niiombee mabaya arsenal!!
 
Kind of slowing their game....and much like no way for the 2nd goal.....
 



Unajitokeza baada ya kupata kagoli ka bahaati. khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kona ya pili hiyo Bayern wananyimwa....naona mmetoa mpunga leo. khe khe kheeeeeeeeeeeeeee
 
Kati kati tumechoka mbaya.... hakuna any winning loose ball so far...
 
Kuna watu humu siku timu zao zinacheza hawaonekani kabisa kwenye majukwaa ya Timu zao lakini siku Arsenal inacheza wanakuwa mabingwa wakupost..........Wanafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…