Wanataka kuchafua mazingira .. ... . usijali tutawachapa magoli, lazima vijana wakomae nao .. .. .. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nasikia mlipata goli la ngama leo? Nasikia katoto ka mjini kanachungulia hapa hakana hata chembe ya utashi kuweka neno ati kanachubiri kupigwa bakora na the Cottagers.
BTW nachikia Brighton wameomba waje kucheza Emirates ..... .... . ..... prof. bado anafikiria maombi yao.