Arsenal itaua watu

Arsenal itaua watu

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
330
Reaction score
1,244
🚨🔴⚪Shabiki wa Arsenal aitwaye "Marg" (au kwa jina jingine "Man"), ambaye aliapa mwaka wa 2015 kwamba hatanyoa ndevu zake hadi Arsenal itakaposhinda UEFA Champions League.

Hadi kufikia August 05, 2025, bado ana ndevu za kuvutia, kama za simba, bado anaheshimu ahadi hiyo ya 2015-bila kujali ni muda gani wa kusubiri.

2015: Alitoa ahadi hiyo baada ya mechi ya mwisho ya Arsenal walipocheza na Barcelona katika fainali ya Ligi ya Mabingwa mwaka 2006 na kupoteza kwa 2-1.

Ndevu hizo zitaachwa bila kunyolewa ili kutimiza ahadi yake iliyodumu kwa zaidi ya miaka 10 .

#BaseTvsportnews #EPL #Arsenal #football #UCL
 
Screenshot_20250806-023122_Google.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom