Ndo maana nimekwambia Mungu wako, wao wanamwita Mjomba, wengine Kaka, wengine Binamu !
Sasa Mungu aliamua kukateuwa kataifa kamoja tuu, halafu mengine akayaacha hayana Mwenyewe ! Yapo yapo tuu ! Sasa sie huku tunaripoti kwa nani !?
Halafu hawa walimpiga na kumuua Mungu (imagine !) tena Mungu huyo huyo kawateuwa !!
Aaaaaaah ! Acheni sarakasi bana !