braza makaptula
Member
- Dec 13, 2011
- 54
- 13
Ndugu wana JF; Waziri mkuu wa zamani wa Israel Nd. Sharon alipata stroke na kupelekea kuuachia Uwaziri, aliendelea kupata stroke akiwa hospitali na kuwa kwenye Koma kwa muda mrefu, lakini ni miaka mingi sasa imepita hakuna taarifa zinazotolewa kuhusu afya yake au alishaaga dunia?
naomba mwenye taarifa atujuze
naomba mwenye taarifa atujuze