Ariel sharon yupo hai?

Status
Not open for further replies.
Dec 13, 2011
54
13
Ndugu wana JF; Waziri mkuu wa zamani wa Israel Nd. Sharon alipata stroke na kupelekea kuuachia Uwaziri, aliendelea kupata stroke akiwa hospitali na kuwa kwenye Koma kwa muda mrefu, lakini ni miaka mingi sasa imepita hakuna taarifa zinazotolewa kuhusu afya yake au alishaaga dunia?
naomba mwenye taarifa atujuze
 
Hajafa, bado anapumua kwa mashine. Kwa lugha ya kitaaluma yupo katika hali ya "persistive vegatative state". Amefikisha miaka 84!

 
Laana mbaya sana kwani ndio huyu alietoa lugha au aliekua na dhamira ya kuwafuta wa PALESTINA wote bila kujua MUNGU ndie aliewaumba hao aw Palestina sasa amekua akiadhirika kwa miaka mingi..huo ni ushaidi tosha kua Mungu yupo na atatatetea haki za wanyonge,wachache cha msingi wamtambue kua hakuna km yeye
 
Yupo hai lakini in COMA ni mwaka wa nne au tano sasa....Sijui inawasaidia nini kumweka mtu kama huyu kwenye mashine muda wote huu? Hhahhaha labda wanasubiri siku Yesu akirudi mara ya pili amkute yupo hai na si mfu.
 
Yupo hai lakini in COMA ni mwaka wa nne au tano sasa....Sijui inawasaidia nini kumweka mtu kama huyu kwenye mashine muda wote huu? Hhahhaha labda wanasubiri siku Yesu akirudi mara ya pili amkute yupo hai na si mfu.
Makafiri hutamani kuishi milele !
" Yawaje basi itakapofika roho kwenye koo, na nyinyi wakati huo mnatazama ! Na Sisi tuko karibu zaidi naye kuliko nyinyi. Lau nyinyi ham'mo katika mamlaka yangu, kwanini hamuirudishi hiyo roho, ikiwa nyinyi mnasema kweli ? Qur'an; 56: 83-87.
Hapo chachaa !????
 
Laana mbaya sana kwani ndio huyu alietoa lugha au aliekua na dhamira ya kuwafuta wa PALESTINA wote bila kujua MUNGU ndie aliewaumba hao aw Palestina sasa amekua akiadhirika kwa miaka mingi..huo ni ushaidi tosha kua Mungu yupo na atatatetea haki za wanyonge,wachache cha msingi wamtambue kua hakuna km yeye
Je na huyu rais Ahmed Ahmedinejad wa Iran naye atapata laana gani toka kwa MUNGU kwa kuwa toka ameingia madarakani amekuwa akitoa kauli za kufuta taifa la Israel, au MUNGU anaemwamini yeye siye aliyewaumba wayahudi wa Israel???
 
Je na huyu rais Ahmed Ahmedinejad wa Iran naye atapata laana gani toka kwa MUNGU kwa kuwa toka ameingia madarakani amekuwa akitoa kauli za kufuta taifa la Israel, au MUNGU anaemwamini yeye siye aliyewaumba wayahudi wa Israel???
Je, amekwisha futa wayahudi wangapi mpaka sasa !? Kumbuka Iran ndio nchi yenye Wayahudi wengi duniani ! Pia kumbuka a.k.a ya Ariel Sharon ni " Bulldozer " kwa kuuwa Wapestina !
 
Laana mbaya sana kwani ndio huyu alietoa lugha au aliekua na dhamira ya kuwafuta wa PALESTINA wote bila kujua MUNGU ndie aliewaumba hao aw Palestina sasa amekua akiadhirika kwa miaka mingi..huo ni ushaidi tosha kua Mungu yupo na atatatetea haki za wanyonge,wachache cha msingi wamtambue kua hakuna km yeye

Mbona wengi walio kuwa hai kama Khadafi wamesha kwenda kwa Mnyaazi Mungu! Sasa nani kalaaniwa, aliye limwa kwa mtutu au ambaye anaishi? Acheni maskahara. :israel:
 
Je, amekwisha futa wayahudi wangapi mpaka sasa !? Kumbuka Iran ndio nchi yenye Wayahudi wengi duniani ! Pia kumbuka a.k.a ya Ariel Sharon ni " Bulldozer " kwa kuuwa Wapestina !

Hivi unafikiri hapa duniani kuna mtu anajali Mapalestina? Hao Mapalestina wamekuwa wakichapwa Bakora na Myahudi kila mwaka, wapi umoja wa Arabu? Huoni wanakumbuka kipigo cha Six day War. Kamwe hawata sahau mpaka kihama.

Mungu ibariki Israel wa endelee kuwapa kibano Palestina.
 
Hivi unafikiri hapa duniani kuna mtu anajali Mapalestina? Hao Mapalestina wamekuwa wakichapwa Bakora na Myahudi kila mwaka, wapi umoja wa Arabu? Huoni wanakumbuka kipigo cha Six day War. Kamwe hawata sahau mpaka kihama.

Mungu ibariki Israel wa endelee kuwapa kibano Palestina.
Najuwa unajipendekeza kwao kwakuwa Mungu wako wao wanamwita 'Mjomba' !
 
Acha kutumia lugha chafu, hivi kafiri si anaye pinga Mungu? Sasa nani kafiri kutokana na Koran? Maana allah kesha sema hakuna Mungu,

M'Mungu anasema 'roho yake iko kooni' ! Irudisheni sasa kama nyinyi ni wajuaji !
 
Najuwa unajipendekeza kwao kwakuwa Mungu wako wao wanamwita 'Mjomba' !

Israel ni taifa teule la Mungu Yehova Yire, amini usiamini, ila, hakuna atakaeweza kulifuta kwenye uso wa dunia taifa la Israel. Kuilaani Israel ni kujiombea laana, na kuibariki Israel ni kujihakikishia baraka.
 
Israel ni taifa teule la Mungu Yehova Yire, amini usiamini, ila, hakuna atakaeweza kulifuta kwenye uso wa dunia taifa la Israel. Kuilaani Israel ni kujiombea laana, na kuibariki Israel ni kujihakikishia baraka.
Ndo maana nimekwambia Mungu wako, wao wanamwita Mjomba, wengine Kaka, wengine Binamu !
Sasa Mungu aliamua kukateuwa kataifa kamoja tuu, halafu mengine akayaacha hayana Mwenyewe ! Yapo yapo tuu ! Sasa sie huku tunaripoti kwa nani !?
Halafu hawa walimpiga na kumuua Mungu (imagine !) tena Mungu huyo huyo kawateuwa !!
Aaaaaaah ! Acheni sarakasi bana !
 
Makafiri hutamani kuishi milele !
" Yawaje basi itakapofika roho kwenye koo, na nyinyi wakati huo mnatazama ! Na Sisi tuko karibu zaidi naye kuliko nyinyi. Lau nyinyi ham'mo katika mamlaka yangu, kwanini hamuirudishi hiyo roho, ikiwa nyinyi mnasema kweli ? Qur'an; 56: 83-87.
Hapo chachaa !????
roho ikiwa kooni utaiona?utafahm vipi?mambo ya kupewa vitu usivyojua mapangoni na mashetani usilete hapa

Je na huyu rais Ahmed Ahmedinejad wa Iran naye atapata laana gani toka kwa MUNGU kwa kuwa toka ameingia madarakani amekuwa akitoa kauli za kufuta taifa la Israel, au MUNGU anaemwamini yeye siye aliyewaumba wayahudi wa Israel???
NAZANI HUYO DOGO ALIYEZUNGUMZA HAJUI MAMBO-SIJUI KAMA AHMEDNEJAD NA AYATOLLAH HATA ANAWAFAHAMUM AU ASHAWAHI KUWASIKIA
Ndugu wana JF; Waziri mkuu wa zamani wa Israel Nd. Sharon alipata stroke na kupelekea kuuachia Uwaziri, aliendelea kupata stroke akiwa hospitali na kuwa kwenye Koma kwa muda mrefu, lakini ni miaka mingi sasa imepita hakuna taarifa zinazotolewa kuhusu afya yake au alishaaga dunia?
naomba mwenye taarifa atujuze
ASKarikanzu kaeleza juu hapo-hio hali inajulikana pia kama permanent negative state,coz hawez kurudi kwenye normal state-labda miracle itokee-ila kuna part za mwili wake zikisaidiwa na mashines zipo active
 
Last edited by a moderator:
Je, amekwisha futa wayahudi wangapi mpaka sasa !? Kumbuka Iran ndio nchi yenye Wayahudi wengi duniani ! Pia kumbuka a.k.a ya Ariel Sharon ni " Bulldozer " kwa kuuwa Wapestina !

ni nani aliyekwambia IRAN ndo yenye wayahud wengi duniani?unataka kuleta "hadith"unazofundishwa hapa?
tafuta sehem nyingine ya kudanganya si hapa-soma hapa
Jews statistics - countries compared - NationMaster
Jewish population - Wikipedia, the free encyclopedia

HIZO HADITH ZAKO MKAFUNDISHANE HUKOHUKO
 
roho ikiwa kooni utaiona?utafahm vipi?mambo ya kupewa vitu usivyojua mapangoni na mashetani usilete hapa


NAZANI HUYO DOGO ALIYEZUNGUMZA HAJUI MAMBO-SIJUI KAMA AHMEDNEJAD NA AYATOLLAH HATA ANAWAFAHAMUM AU ASHAWAHI KUWASIKIA
ASKarikanzu kaeleza juu hapo-hio hali inajulikana pia kama permanent negative state,coz hawez kurudi kwenye normal state-labda miracle itokee-ila kuna part za mwili wake zikisaidiwa na mashines zipo active

Ndo 'roho' iko kooni hapo ! Hairudi wala haitoki ! Allah SW anakuchallenge kuwa fanya 'mambo' anyanyuke kama wewe unajuwa kweli ! Rudia tena: "Quran;56 :83-87.
 
Last edited by a moderator:
Hivi unafikiri hapa duniani kuna mtu anajali Mapalestina? Hao Mapalestina wamekuwa wakichapwa Bakora na Myahudi kila mwaka, wapi umoja wa Arabu? Huoni wanakumbuka kipigo cha Six day War. Kamwe hawata sahau mpaka kihama.

Mungu ibariki Israel wa endelee kuwapa kibano Palestina.

KWELI Mzee huyu alikuwa akitekeleza matakwa ya Israel vizuri lakini mwishoni akapagawa na roho ya kuasi kanuni za taifa takatifu kwani alikuwa na plan ya kutoa uhuru kamili kwa wapalestina ndipo Mungu akamute.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom