Ariel sharon yupo hai?

Ariel sharon yupo hai?

Status
Not open for further replies.
KWELI Mzee huyu alikuwa akitekeleza matakwa ya Israel vizuri lakini mwishoni akapagawa na roho ya kuasi kanuni za taifa takatifu kwani alikuwa na plan ya kutoa uhuru kamili kwa wapalestina ndipo Mungu akamute.
Daaah ! Hivyo eeeeh ! Angeendelea kuua, Mungu wa taifa takatifu angempa umri wa Miaka elfu moja kama Nuhu eeeh !
 
Ndo maana nimekwambia Mungu wako, wao wanamwita Mjomba, wengine Kaka, wengine Binamu !
Sasa Mungu aliamua kukateuwa kataifa kamoja tuu, halafu mengine akayaacha hayana Mwenyewe ! Yapo yapo tuu ! Sasa sie huku tunaripoti kwa nani !?
Halafu hawa walimpiga na kumuua Mungu (imagine !) tena Mungu huyo huyo kawateuwa !!
Aaaaaaah ! Acheni sarakasi bana !

Waambie aisee waafarika tuwache huu ujinga jameni. Erevukeni. Hata mimi mwenyewe jina langu la kwanza ni la kizungu lakini nilishaa erevuka. Huu ukoloni wa kiakili na dini hata jina sitaki tena.
 
Ndo 'roho' iko kooni hapo ! Hairudi wala haitoki ! Allah SW anakuchallenge kuwa fanya 'mambo' anyanyuke kama wewe unajuwa kweli ! Rudia tena: "Quran;56 :83-87.
mambo yaliyofanyika kwenye mapango ya mashetani siyataki
 
Acha kutumia lugha chafu, hivi kafiri si anaye pinga Mungu? Sasa nani kafiri kutokana na Koran? Maana allah kesha sema hakuna Mungu,
Allah kasema hakuna mungu?Kwani allah ni nani na mungu ni nani?
 
Wapalestina wanatakiwa kupata bakora mara kwa mara kwani watu wamewachoka sana tu kama kweli watu wanacare about Mijipalestine basi Waarabu wangesema lakini wapi angalia nchi kama Jordan wametulia tu hata hawana isue juu ya Wapalestina sema Watanganyika ati wanawatetea na hao hao Watanganyika wanaowatetea Wapalestina wanaonekana kama mavi tu mbele za Waarabu wengi nimeshuhudia kikundi flani hivi wameunda kama kijichama waende kwa Waarabu flani hiyo ilitokea tukiwa nchi flani sasa basi yaliyotokea kule alikuwa aibu tupu wale Waarabu walikuwa wakiwaona jamaa kama mizoga vile aibu sana ilikuwa.Mungu wabariki Israel na ipo siku atamuamsha Erial Sharon,ni matumaini yangu makubwa kuwa Israel wataendelea kuwapa bakora hawa wajinga jinga
 
Allah kasema hakuna mungu?Kwani allah ni nani na mungu ni nani?
.......na uzima wa milele ndio huu: wakujue wewe " Mungu wa pekee na wa Kweli" na Yesu Kristo uliemtua.
...........nashuhudia ya kuwa hakuna Mungu mwingine, ila ALLAH SWT (Mwenyezi Mungu) tu, na Muhammad ni mjumbe wake (Mtume wake).
Wako waungu wa "KWELI" na uongo, ndo ambao wanakanushwa hapo. Kidogo dogo mtaelewa tuu!
 
Ndg zangu 2jiulze kabla ya majirio ya Waarabu na Wazungu na majina yao pa1 na DINI zao,babu,bibi,baba na mama ze2 walkuwa hawana majna wala DINI? Achane u2mwa wa akili jaribni ktafakar wote walilenga utajri na sio kueneza hayo mnayorumbana kuweni makn juu ya hlo..
 
Ndg zangu 2jiulze kabla ya majirio ya Waarabu na Wazungu na majina yao pa1 na DINI zao,babu,bibi,baba na mama ze2 walkuwa hawana majna wala DINI? Achane u2mwa wa akili jaribni ktafakar wote walilenga utajri na sio kueneza hayo mnayorumbana kuweni makn juu ya hlo..
Wacha ujinga wewe ! Tafuta vitabu usome kisha uje na hoja za maana. Kama Babu yako aliabudu kichaka au mti, basi na wewe without reasoning unaabudu kichaka ! Ukikuta kimefyekwa utahamia kuabudu nini !
Jipange kisha uje tena.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom