Are zombie (zombi) there?

Mkuu kwa jibu kamili na sahihi inabidi tu kwanza uende - Gamboshi, Ikingulyabashashi na Sumbawanga!!
 
hawa zombe wanakunywa damu za binadamu na wanaogopa mwanga wa jua, jee wakikosa damu ya binadamu watakufa? maana tayari niwafu
 
Hiyo ni computer work. Mtu akifa haweeeezi kufanya lolote. Japo kwa upande wa imani fulani wanaamini mtu akifa roho yake inaendelea kuwa hai. Kwa upande wa wangu, najua kwamba binadamu ni combination ya mwili na pumzi ya uhai. Viki seperate hakuna kinachoweza kuwepo independently.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…