Hiyo ni computer work. Mtu akifa haweeeezi kufanya lolote. Japo kwa upande wa imani fulani wanaamini mtu akifa roho yake inaendelea kuwa hai. Kwa upande wa wangu, najua kwamba binadamu ni combination ya mwili na pumzi ya uhai. Viki seperate hakuna kinachoweza kuwepo independently.