Are zombie (zombi) there?

Paul Kijoka

JF-Expert Member
Oct 25, 2010
1,399
255
mask_Zombie_rot.jpg zombi.jpg Zombi_Lady_by_antsforce.jpg

Ni kweli kuwa hawa ni watu au ni imaginations?
 
Mkuu kwa jibu kamili na sahihi inabidi tu kwanza uende - Gamboshi, Ikingulyabashashi na Sumbawanga!!
 
hawa zombe wanakunywa damu za binadamu na wanaogopa mwanga wa jua, jee wakikosa damu ya binadamu watakufa? maana tayari niwafu
 
Hiyo ni computer work. Mtu akifa haweeeezi kufanya lolote. Japo kwa upande wa imani fulani wanaamini mtu akifa roho yake inaendelea kuwa hai. Kwa upande wa wangu, najua kwamba binadamu ni combination ya mwili na pumzi ya uhai. Viki seperate hakuna kinachoweza kuwepo independently.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom