Are you invited?

Are you invited?

Kaka Mtambuzi mimi huwa situmii hayo makitu uliyoweka hapo..nina aleji! Naomba uangalie alternative food kwa ajili yangu tafadhali..

Plus fanya booking ya room 333...!!!
 
Last edited by a moderator:
Kaka Mtambuzi mimi huwa situmii hayo makitu uliyoweka hapo..nina aleji! Naomba uangalie alternative food kwa ajili yangu tafadhali..

Plus fanya booking ya room 333...!!!

Hiyo rum ina nini shemeji
 
Last edited by a moderator:
Kaka Mtambuzi mimi huwa situmii hayo makitu uliyoweka hapo..nina aleji! Naomba uangalie alternative food kwa ajili yangu tafadhali..

Plus fanya booking ya room 333...!!!

Mtambuzi ni receptionist wa hotel? Je una uelewa wowote kuhusu buffee?

Check online confirm booking then debit master card yako yako.

Choice ni ya yako unataka Presidential suite, delux, luxury or what?
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi ni receptionist wa hotel? Je una uelewa wowote kuhusu buffee?

Check online confirm booking then debit master yako yako.

Choice ni ya yako unataka Presidential suite, delux, luxury or what?

Kulikuwa na ulazima gani wa kuongea yote haya? Af sijapata connection ya kile alichosema Mentor na hiki ulichokiandika au mi kilaza?
 
Last edited by a moderator:
Kulikuwa na ulazima gani wa kuongea yote haya? Af sijapata connection ya kile alichosema Mentor na hiki ulichokiandika au mi kilaza?

Shem usimseme sana...anti Matty! Huwa anajua kupasha sana...
 
Last edited by a moderator:
Kulikuwa na ulazima gani wa kuongea yote haya? Af sijapata connection ya kile alichosema Mentor na hiki ulichokiandika au mi kilaza?

Rudia kusoma upya utaelea kama nia yako ni kuelewa.

Taratibu za booking za rooms za hotel ziko na wazi na taratibu za restaurant chakula ni chaguo la mlaji pia. Nini hujaelewa hapo?
 
Last edited by a moderator:
Shem usimseme sana...anti Matty! Huwa anajua kupasha sana...

Hapo ulipo unaweza kufanya booking ya hotel online na unaweza kukata ticket ya ndege online, kama kosa langu ni kusema ukweli basi sawa.
 
Rudia kusoma upya utaelea kama nia yako ni kuelewa.

Taratibu za booking za rooms za hotel ziko na wazi na taratibu za restaurant chakula ni chaguo la mlaji pia. Nini hujaelewa hapo?

Sasa hivi ndo kidogo nimekuelewa japo si sana.....unatumia lugha kali sana Matola
 
Last edited by a moderator:
Sasa hivi ndo kidogo nimekuelewa japo si sana.....unatumia lugha kali sana Matola

Ujumbe wa mwallu ukiujibu wewe Khantwe nitaona unajipendekza kwangu!

Ndicho anachokifanya Anti Matty sasa. Mtambuzi (mlengwa wa ujumbe wangu) kaelewa keshatekeleza...huyu shosti ako atakuja bakwa bila kujua!
 
Last edited by a moderator:
Ujumbe wa mwallu ukiujibu wewe Khantwe nitaona unajipendekza kwangu!

Ndicho anachokifanya Anti Matty sasa. Mtambuzi (mlengwa wa ujumbe wangu) kaelewa keshatekeleza...huyu shosti ako atakuja bakwa bila kujua!

Hahahaa shem bhana yaishe
Af shem unamaanisha mimi najipendekeza? Maana ujumbe wako nimejibu mimi
 
Last edited by a moderator:
Ujumbe wa mwallu ukiujibu wewe Khantwe nitaona unajipendekza kwangu!

Ndicho anachokifanya Anti Matty sasa. Mtambuzi (mlengwa wa ujumbe wangu) kaelewa keshatekeleza...huyu shosti ako atakuja bakwa bila kujua!

Wewe Falla kama una jambo personal na Mtambuzi mtumie pm hata invitation tumetumiwa pm, hapa ni open forum punguza kujikatisha viuno.
 
Last edited by a moderator:
duh yaani pamoja na kukumbushia kwa nguvu zote sijawa-mentioned!!!!! kweli JF ina wenyewe.........

jana kuna mwenzio aliandamana lakn akaambiwa labda cku nyingne atakua mentioned vumilia tu.
BTW wengi hapo waliokua mentioned ni KE
 
Mtambuzi ni receptionist wa hotel? Je una uelewa wowote kuhusu buffee?

Check online confirm booking then debit master card yako yako.

Choice ni ya yako unataka Presidential suite, delux, luxury or what?

Pena Yenau is on the way to pick you up
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom