julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 3,341
- 4,572
safi kwa swali lako naona kweli umependezesha kwa kumalizia na dua ya nabii musa alyhi salam alipokuwa kalala katika kisa cha kukimbia misri.na kweli dua ilr ilimpa mpaka mke.kisa kirefu niishie hapo.
ama katika hoja zako si kweli waty wanazaliwa na tarjama iliyo sahihi badae ndiotu anakengeuka kama aina nyingine tu ya maasia mtu ane anasema hebu nijaribu na huu umaaluni wa kulawitiana..
sio mtu anazaliwa .
Sent using Jamii Forums mobile app
ama katika hoja zako si kweli waty wanazaliwa na tarjama iliyo sahihi badae ndiotu anakengeuka kama aina nyingine tu ya maasia mtu ane anasema hebu nijaribu na huu umaaluni wa kulawitiana..
sio mtu anazaliwa .
Sent using Jamii Forums mobile app
,,,, ntampanga iwe hivyo mana hanipingi ila kunipa mzigo tu ndo anasema hana hisia.