Katika pita pita yangu ,( sababu mimi ni miongoni mwa watu tunaopenda Dini ) nikawa napitia kisa cha nabii Luti/Lutwi ( Kwa watu wafuatiliaji wa Dini, hiki kisa ni maarufu sana ) na watu wa Sodoma na Gomora,nikawa natafakari sana juu ya utambuzi wa watu wale, nikawa najiuliza walipatwa na nini mpaka wakawa wanafanya mapenzi ya jinsia moja ?
Historia imeandikwa na kalamu zimenyanyuliwa na wino umekauka, Hamad ! Mambo haya ya mapenzi ya jinsia moja yanapigiwa upatu na baadhi ya watu na yakafanywa kama ni mambo ya kawaida na ni katika haki za faragha za watu, yaani hupaswi kuwaingilia wafanyapo mapenzi hayo. Lakini sisi tunajiuliza watu hawa wamepatwa na nini ? Akili zao huzifanyia kazi wapi ? Hata picha hawaoni ?
Je ni kweli mtu huzaliwa akiwa shoga au msagaji na msagwaji ?
Karibuni wadau, wakubwa na wavyele katika kunisaidia kunipa majibu ya swali hilo hapo juu.
Ni mimi kijana fakiri na muhitajia toka kwa Mola wangu mlezi, Mola muumba wa ardhi na vilivyomo Zurri Mubarridi.
Historia imeandikwa na kalamu zimenyanyuliwa na wino umekauka, Hamad ! Mambo haya ya mapenzi ya jinsia moja yanapigiwa upatu na baadhi ya watu na yakafanywa kama ni mambo ya kawaida na ni katika haki za faragha za watu, yaani hupaswi kuwaingilia wafanyapo mapenzi hayo. Lakini sisi tunajiuliza watu hawa wamepatwa na nini ? Akili zao huzifanyia kazi wapi ? Hata picha hawaoni ?
Je ni kweli mtu huzaliwa akiwa shoga au msagaji na msagwaji ?
Karibuni wadau, wakubwa na wavyele katika kunisaidia kunipa majibu ya swali hilo hapo juu.
Ni mimi kijana fakiri na muhitajia toka kwa Mola wangu mlezi, Mola muumba wa ardhi na vilivyomo Zurri Mubarridi.