Ardhi University(ARU) - Special Thread

мм иι кιʝαиα иιℓιємαℓιzα кι∂αтσ ¢нα ииє мωαкα ʝαиα иιиα υfαυℓυ ωα 4 уα ρσιит 26 иιиα C ya geography C ya English, C ya kiswahili, afu masomo ya civics, history, bios, nina D na math F sasa nauliza naeza pata chuo cha ardhi kwa Course ya land management kweli naombeni msaaada wenu jamaaaaan
Huwezi
 
Msaada: Mtu aliyesoma HGE a'level,pia akiwa na Dip in Educ,BA-Geography&Environmental Studies and MSc. in Natural Resoures Management anaweza kupata Postgraduate Diploma in Geomatics hapo ARU?
 
mimi ni mhadhiri ARU hufai hata kujiunga na chuo cha ardhi Tabora ambapo tunatoa diploma. Labda kama una interest na ardhi uombe Certificate Morogoro.
Mkuu vip diploma ya Civil engineering kwa Mimi mwenye three ya 15 form six PCM mwaka 2016?
Hapo Ardhi nitapata mwanya?

sent by IPhone 6 using jamii forum app
 
Bachelor of
Science in Land
Management and
Valuation (B.Sc.
LMV)
Aliesoma hii coz au anaesoma ani pm 2shauriane wakuu tfadhali
 
Naomba kusaidiwa, nime'apply' udsm na ardhi university bachelor degree, nimeji'register', baada ya hapo kuna steps nne.
 
hivi mfano una kijana kamaliza kidato cha nne ni kozi gani itamfaa hapo chuoni na amesoma masomo ya arts na yote kafaulu pia gharama za hiyo kozi
ahsante
 
hivi mfano ukiwa na kijana kamaliza kidato cha nne na kafaulu masomo yote ya arts naweza kumleta hapo?
 
Back
Top Bottom