Ehudyyy.....
Member
- Sep 25, 2015
- 55
- 5
Umekuja kufanyaje
Kujubu swali lolote kuhusu Ardhi tunaloweza Ku share
Umekuja kufanyaje
Nimekuja graduate wa Ardhi wa school of Construction Economics and Management
Makamu mkuu Wa chuo Wa zamani prof. Kaseva yuko wapi Kwa sasa?
Hicho kiingereza cha hovyo hovyo wikipedea kinaiaibisha chuo. Halafu jina 'Ardhi University' halivutii kabisa. Bora hata wangeiita Makongo au Mlalakuwa University
Ada znalipwa kwenye benki gan na branch ipi
wadogo zangu mnaopenda kujiunga na chuo hiki nawakarbshen sana waweza kuniuliza swali lolote kuhusu chuo chetu utajibiwa bila shaka KARBUN CHUO KIKUU ARDHI DAR ES SALAAM
Naomba kufahamishwa kuhusu Bsc in land management and valuation :- 1 Soko la Ajira na application zake
Nlikuwa nauliza ada znalipwa kwnye bank gan na branch ipi
Karibuni kupata majibu ya maswali yenu mbalimbali kuhusu Ardhi Unversity...
============================
============================
Chanzo: Wikipedia
Nahitaji kuwa na kiasi gani cha fedha ili niweze kufanikisha Usajili? maana mi mpaka leo sijaja kufanya usajiliKaribuni kupata majibu ya maswali yenu mbalimbali kuhusu Ardhi Unversity...
============================
============================
Chanzo: Wikipedia