Serikali itoe ruzuku kwenye mashine za kusaga chupa kwa vijana kila mtaa kuwe na mashine wanunuzi wapo wengi wa taka za plastic zilizosagwa.
Pia itoe mafunzo kwa vijana wajiajiri kutengeneza bidhaa aina zaidi ya 200 zitokanazo na taka za plastic mfano taka za plastic zinazalisha
.petrol, diesel,tiles, pavers, roofing tiles,mbao, furniture,vigae vya chini na vya kuzeeka nyumba pia,mifagio ya ndani,matofali ya kujengea,kamba na nyuzi,madawati,viti,meza,stuli, panels za kujengea, barabara nk.
Kila changamoto ni fursa.
Kila uchafu ni malighafi za kuzalisha bidhaa zingine.