Ntrqios
Member
- Dec 14, 2020
- 39
- 34
Kesho nitawapa maelekezo yote mpaka mtakapo elewaHaya mafunzo unatusaidiaje sisi beginners
Kesho nitawapa maelekezo yote mpaka mtakapo elewaHaya mafunzo unatusaidiaje sisi beginners
Shukrani sanaKesho nitawapa maelekezo yote mpaka mtakapo elewa
Nimecheka asee hivi jina langu ndio laitwa hivi??Cc @danvinci
Hatua za kufanikisha astral projection
01.oga vaa nguo zisizo bana
02.nenda kitandani lala ukiwa umeangalia juu(chari)
03.hakikisha chumbani kwako Luna hewa ya kutosha itakayo kufanya upumue vizurii
04.usikaze mwili wako wala kutikisika lala ukiwa ume relax kwa maana hakuna cha kukuzuru
05.baada ya dakika takriban 30 had 50 ubongo wako utakuwa umeudanganya utaanza kuona tofauti katika mwili wako ikiwa na maana utaanza kuvibrate (kutikisika) baada ya hapo mwili wako utaachia kinga ukiwa na maana utapararaizi hutoweza kutoa sauti wala kutikisika kwa sababu mwili wako unakuwa umelala lakin nafsi yako inakuwa ipo macho usiiogope kwa sababu uoga wako ndo umaskin wako hakuna kitu cha kukuzuru
06.namba sita ndo Kali kuliko hapa kuna watu wengi huwa wanashindwa na kufanya zoezi likatike shida IPO kuujua upi mwili sahihi utakao amka nao wewe cha kufanya unatakiwa uvute hisia kama unaamka ama kunakitu kinakuvuta hapo utakuwa umefanikisha aslimia 100℅ kwa sababu utaamka bila shida yoyote kabisa
07.chaguo litakuwa lako upae ama ule road mimi huwa natumia zote maana katika ulimwengu huo hautoweza kuchoka ama kuumia pili utaweza kuona malaika pamoja na pepo lakini hawatoweza kukuzuru kabisa maana katika ulimwengu huo hakuna cha kukuzuru nakumbuka mwaka Jana lilikutana na vita kati ya maraika na mapepo vita ile ilikuwa ni kubwa sana ilinifanya niogope sana maana haikuwa ya kawaida wala ya kusimulika
08.utajifunza vitu mbalimbali katika ulimwengu huo ikiwa na maana kutengeneza vitu pamoja na kujua mbinu mbalimbali kujinasua katika maisha Ila kama utahitaji kuwa na nguvu za miujiza magic hand utakiwa ujifunze meditation ikiwa nguvu hizi zimegawanyika katika njia mbalimbali 01:maji,moto,earth,mianzi pamoja na upepo zipo nyingi sana
09.ni wewe mwenyewe utaamua kuzurura ama kujifunza
NAMNA YA KURUDI NI WEWE KURUDISHA MAWAZO YAKO PALE ULIPOLALA UTAJIKUTA ULIPOLALA ITACHUKUA KAMA SEC 14 MWILI KUANZA KUFANYA KAZI ASANTENI SANA MUNGU AWABALIKI
Mfano nisipowazia kirudi, nini kitatokea kwa mwili na roho iliyopo huko mtaani!?Hatua za kufanikisha astral projection
01.oga vaa nguo zisizo bana
02.nenda kitandani lala ukiwa umeangalia juu(chari)
03.hakikisha chumbani kwako Luna hewa ya kutosha itakayo kufanya upumue vizurii
04.usikaze mwili wako wala kutikisika lala ukiwa ume relax kwa maana hakuna cha kukuzuru
05.baada ya dakika takriban 30 had 50 ubongo wako utakuwa umeudanganya utaanza kuona tofauti katika mwili wako ikiwa na maana utaanza kuvibrate (kutikisika) baada ya hapo mwili wako utaachia kinga ukiwa na maana utapararaizi hutoweza kutoa sauti wala kutikisika kwa sababu mwili wako unakuwa umelala lakin nafsi yako inakuwa ipo macho usiiogope kwa sababu uoga wako ndo umaskin wako hakuna kitu cha kukuzuru
06.namba sita ndo Kali kuliko hapa kuna watu wengi huwa wanashindwa na kufanya zoezi likatike shida IPO kuujua upi mwili sahihi utakao amka nao wewe cha kufanya unatakiwa uvute hisia kama unaamka ama kunakitu kinakuvuta hapo utakuwa umefanikisha aslimia 100℅ kwa sababu utaamka bila shida yoyote kabisa
07.chaguo litakuwa lako upae ama ule road mimi huwa natumia zote maana katika ulimwengu huo hautoweza kuchoka ama kuumia pili utaweza kuona malaika pamoja na pepo lakini hawatoweza kukuzuru kabisa maana katika ulimwengu huo hakuna cha kukuzuru nakumbuka mwaka Jana lilikutana na vita kati ya maraika na mapepo vita ile ilikuwa ni kubwa sana ilinifanya niogope sana maana haikuwa ya kawaida wala ya kusimulika
08.utajifunza vitu mbalimbali katika ulimwengu huo ikiwa na maana kutengeneza vitu pamoja na kujua mbinu mbalimbali kujinasua katika maisha Ila kama utahitaji kuwa na nguvu za miujiza magic hand utakiwa ujifunze meditation ikiwa nguvu hizi zimegawanyika katika njia mbalimbali 01:maji,moto,earth,mianzi pamoja na upepo zipo nyingi sana
09.ni wewe mwenyewe utaamua kuzurura ama kujifunza
NAMNA YA KURUDI NI WEWE KURUDISHA MAWAZO YAKO PALE ULIPOLALA UTAJIKUTA ULIPOLALA ITACHUKUA KAMA SEC 14 MWILI KUANZA KUFANYA KAZI ASANTENI SANA MUNGU AWABALIKI
Whether is true or not let the seekers choose their path....This is evil and Dark teaching. Hopefully you know that
Kurudi ni razima maana hauwezi kufa unakuwa katika ulimwengu ea ndoto pengine kila kinacho endelea unajua usiwaze mkuu kama kufa wangeshakufa wengi mm nilikuwa kama wewe naogopa Ila militia hofuMfano nisipowazia kirudi, nini kitatokea kwa mwili na roho iliyopo huko mtaani!?
Hii kitu imewekwa na mungu wako hatuwezi kujifunza kitu cha kishetan maana nafsi tulizonazo ni roho mtakatifu you knowThis is evil and Dark teaching. Hopefully you know that
Hii kitu imewekwa na mungu wako hatuwezi kujifunza kitu cha kishetan maana nafsi tulizonazo ni roho mtakatifu you knowThis is evil and Dark teaching. Hopefully you know that
duu hii kitu nina hamu nayo sana sana sasa je hii si dhambi kwa muumba?Hatua za kufanikisha astral projection
01.oga vaa nguo zisizo bana
02.nenda kitandani lala ukiwa umeangalia juu(chari)
03.hakikisha chumbani kwako Luna hewa ya kutosha itakayo kufanya upumue vizurii
04.usikaze mwili wako wala kutikisika lala ukiwa ume relax kwa maana hakuna cha kukuzuru
05.baada ya dakika takriban 30 had 50 ubongo wako utakuwa umeudanganya utaanza kuona tofauti katika mwili wako ikiwa na maana utaanza kuvibrate (kutikisika) baada ya hapo mwili wako utaachia kinga ukiwa na maana utapararaizi hutoweza kutoa sauti wala kutikisika kwa sababu mwili wako unakuwa umelala lakin nafsi yako inakuwa ipo macho usiiogope kwa sababu uoga wako ndo umaskin wako hakuna kitu cha kukuzuru
06.namba sita ndo Kali kuliko hapa kuna watu wengi huwa wanashindwa na kufanya zoezi likatike shida IPO kuujua upi mwili sahihi utakao amka nao wewe cha kufanya unatakiwa uvute hisia kama unaamka ama kunakitu kinakuvuta hapo utakuwa umefanikisha aslimia 100℅ kwa sababu utaamka bila shida yoyote kabisa
07.chaguo litakuwa lako upae ama ule road mimi huwa natumia zote maana katika ulimwengu huo hautoweza kuchoka ama kuumia pili utaweza kuona malaika pamoja na pepo lakini hawatoweza kukuzuru kabisa maana katika ulimwengu huo hakuna cha kukuzuru nakumbuka mwaka Jana lilikutana na vita kati ya maraika na mapepo vita ile ilikuwa ni kubwa sana ilinifanya niogope sana maana haikuwa ya kawaida wala ya kusimulika
08.utajifunza vitu mbalimbali katika ulimwengu huo ikiwa na maana kutengeneza vitu pamoja na kujua mbinu mbalimbali kujinasua katika maisha Ila kama utahitaji kuwa na nguvu za miujiza magic hand utakiwa ujifunze meditation ikiwa nguvu hizi zimegawanyika katika njia mbalimbali 01:maji,moto,earth,mianzi pamoja na upepo zipo nyingi sana
09.ni wewe mwenyewe utaamua kuzurura ama kujifunza
NAMNA YA KURUDI NI WEWE KURUDISHA MAWAZO YAKO PALE ULIPOLALA UTAJIKUTA ULIPOLALA ITACHUKUA KAMA SEC 14 MWILI KUANZA KUFANYA KAZI ASANTENI SANA MUNGU AWABALIKI