Arch Angel Michael

Arch Angel Michael

Nasikia unabaki kuuona mwili wako lakini huwezi ingia maana umetingishika 😀 😀 😀 😀 . na kwamba hakikisha umefunga milango,mtu akiingia akakutingisha ni kosa
Haya mambo ya kufikirika sidhani kama kuna anayeweza kuelezea tukamwelewa
 
you can go anywhere even state house and have a drink there 😛 😛 😛 😛😛😛
 
you can go anywhere even state house and have a drink there 😛 😛 😛 😛😛😛
 
Bush,rockafella,Rothschild,CIA,..these family run world,
To break this chain lazima kuwe na third world war.
No, it's a spiritual war, they are under dark entities as some of them are 200 fallen Angels and reptilians too. Once you are awake you will realise how this war is. We don't need weapons, we have spiritual guides and Ancestors. Under Anu.Amun the Most high. Wake up
 
you tell us the next while we are at low beyond
Awaken yourself by calling on your ancestors and guides. As you have been told to believe lies since you were a child, it won't be easy to accept this.
 
Nasikia unabaki kuuona mwili wako lakini huwezi ingia maana umetingishika 😀 😀 😀 😀 . na kwamba hakikisha umefunga milango,mtu akiingia akakutingisha ni kosa
Haya mambo ya kufikirika sidhani kama kuna anayeweza kuelezea tukamwelewa
Anyone could astral project, its a lucid dream, meaning you consciuosly control your dream and able to perform your abilities. Astral projection could be achieved by your guides, they are the ones allowing your dreams to happen.
 
Briefly tueleweshe kwa kiswahili Fasaha mana hizi ngoma mi sizielewi kabisa. .
Dunia hii usiiona Kama ilivyo. Kuna watu wapo nyuma ya pazia kwa kivuli Cha serikali walizounda wao na ku waweka wenzao, ili walinde maslahi yao, na kutufanya sisi wengine tusio jua kubaki Kama kondoo wa machungani. Wanaongoza chini ya nguvu Giza, kwani wengi wao Ni Kati ya malaika 200 waliotupwa duniani na shapeshifters(reptilians) vizazi vya shetani au draconians. Ndio wanaomiliki bank zote around the world, trains,bridges and industries. Wametengeneza system ya kutufanya kua watumwa wao kwa kufanya kazi na kuwalipa through bills(dollars). One has free himself and create his own free God will, and not the evil one we are into. Wanainginia virusi na magonjwa la AIDS,COrona,Ebola etc to vaccinate us and broke uor DNA into pieces. As they are all against humankind and God the Most high Anu.Amun.
Tukiita mababu zetu na malaika kupitia meditation we will rise our vibration to 5D dimension ambapo they can't operate.
 
Conspiracy theories Luckily I'm Comp Enthusiast.
Tell me babu zako aliyekufa miaka kadhaa atakusaidia vipi na mabadiriko haya ya teknlojia..
Bado tunarudi kulekule Dark Dimension can Inflating your meditation coz Your spiritual awakening doesn't have God's Back Up
Ancestors are watching us, wengi wetu tumefundishwa kua watu wakifa Basi ndio Basi, wanaoza na Hadi mwisho ndio watafufuliwa. This is a biggest lie. Ancestors are your guides only when you rely on them they will show up. Kupitia meditation and channeling you will hear them and even in your dreams. They are in different animals shape as angels on birds ancestors are on butterfly's form and other flying creatures.
For me Angels and my ancestors are my spiritual guides.
Meditate and rise your vibration to the sense that you could posses your intuition well. Hapo ndipo utawasikia vizuri together with God the creator or The universe.
 
Astal projection ni uwezo wa kufikiria katika nafsi ile nafsi inayotoka nje ni ya ufikiri tu hakuna mtu wakuja kukutingisha ufe ni uongo mtupu hufi Bali tu kama siku zako za kufa zimefika alafu ukapitiliza lazima uende pia tu hii inasaidia kuona mambo yajayo kwa wale wazeee wa kubet hii ndio fursa pia astral projection inakupa uwezp mkubwa wa kufikilia Ila ndugu zanguni kumbuka ukiwa unafanya astral projection kiu lazima upate na lazima uhitaji kujikuna na hap ubongo wako utabaki kama kawaida tu maana utajua we bado hujalala kama ikitikea hujarudi ongea na hap vivuli wataku save Ila kuwaona ni mtizi kwelikweli ila sisemi mi nishatoka mi niliishiaga kwenye paralysis tu sijawahi chomoka ila Nina mwalim mzungu kanipa mbinu mbalimbali pia ukiweza kutoka usije ukawaza kitu kibaya aise utakiona live ukiwaza umemwona mchawi inatikea live ukiwaza umeshindwa kurudi dunian ++ itabaki story ulikuwaga MTU gan ntawajuza vitu mbalimbali nitakapo kaa sawa
 
Anyone could astral project, its a lucid dream, meaning you consciuosly control your dream and able to perform your abilities. Astral projection could be achieved by your guides, they are the ones allowing your dreams to happen.
Naomb ni dm mr
 
Nadhani bado hamjaelewa astal projections ni nini

Astral projection ni ile hali ya mtu kutengana na mwili wake kimawazo pili katika ulimwengu wa ndoto hakuna majinamizi kuna loho chafu Mara nyingi loho hizi chafu utaziona pale inapotokea vita kati ya malaika na hao loho wachafu vita hivi huwa ni vikubwa sana utakapo ona vita hiyo unatakiwa uondoke maana utakuwa na uwoga mwingi sana .utaweza kutarii katika sehemu mbalimbali ila katika vitu vyote mwanadamu ananguvu kubwa sana kuliko majini Ila mpaka kipindi utakapo jua kuzitumia kwa sababu astral sio kwenda kutarii tu kunakujifunza vitu vingi.kuhusu mtu kumwona marehem au mtu aliewahi kufa ni ngumu sana labda utumie meditation ili roho yake uiite nayo itakuja ila by using astral mpaka uwe mzoefu sana lasi hivyo hutoweza

.kuhusu swala la mtu kuja kukutikisa alafu ufe kwakweli haiwezekani labda uwe ndo siku uliyo pangiwa msiwe waoga nyie ndio wajenzi wa hii dunia ukifanikisha utajifahamu wewe ni nani na unatakiwa ufanye nini.kuhusu swala LA kufanya miujiza ni ngumu labda uwe unafanya meditation kwa kutumia astral inawezekana ila usizuru watu au kuzionyesha maana nguvu hizi ni kubwa sana hazina kiwango mfano kufaham mambo yanayokuja mbeleni kubwa na speed like the flash or sonic ,macho kuwa yanatoa mwanga, mikono kuwa na nguvu zisizo za kawaida, na kuwa na nguvu za kuelea angani,kupoterea (teleport), kuwa mbunifu,kuwa na uwezo wa kuponya jeraha na isibaki hata alama ndani ya sekunde moja ukiwa na nguvu majini wala wachawi hawata kusogerea nguvu ya mwisho kabisa ambayo hata ufight vipy kuipata tz ni kumfufua marehemu hii mungu anajua siri pekee hata maraika ukiwauliza watakwambia hii huruhusiwi kuifahamu maana itatumika vibaya kama baadhi ya wanadam wanaoitumia nguvu hiyo kwa kutumia majini sio jambo zuri kabisa maana kuna baadhi ya majini ambao mungu aliwapa nguvu za kuamsha wafu na hata baada ya kufukuzwa mbinguni waliachiwa nguvu hizo ingawa sio kwa kiwango kikubwa ni kwa kiwango kidogo sana na baadhi walinyang'anywa kabisa nitaendelea kuwajuza mengi zaidi ingawa kuna watu mnakata tamaa baada ya kuongopeshwa kwa maneno ya watu pia kuna wengi mlijalibu hamkufanikisha wengine mlijalibu mkahisi kiu mkameza mate kuna baadhi uzalendo uliwashinda mkajigeuza ASANTENI SANA TUTAKUTANA KWA AJIRI YA MAFUNZO ZAID
 
Nadhani bado hamjaelewa astal projections ni nini

Astral projection ni ile hali ya mtu kutengana na mwili wake kimawazo pili katika ulimwengu wa ndoto hakuna majinamizi kuna loho chafu Mara nyingi loho hizi chafu utaziona pale inapotokea vita kati ya malaika na hao loho wachafu vita hivi huwa ni vikubwa sana utakapo ona vita hiyo unatakiwa uondoke maana utakuwa na uwoga mwingi sana .utaweza kutarii katika sehemu mbalimbali ila katika vitu vyote mwanadamu ananguvu kubwa sana kuliko majini Ila mpaka kipindi utakapo jua kuzitumia kwa sababu astral sio kwenda kutarii tu kunakujifunza vitu vingi.kuhusu mtu kumwona marehem au mtu aliewahi kufa ni ngumu sana labda utumie meditation ili roho yake uiite nayo itakuja ila by using astral mpaka uwe mzoefu sana lasi hivyo hutoweza

.kuhusu swala la mtu kuja kukutikisa alafu ufe kwakweli haiwezekani labda uwe ndo siku uliyo pangiwa msiwe waoga nyie ndio wajenzi wa hii dunia ukifanikisha utajifahamu wewe ni nani na unatakiwa ufanye nini.kuhusu swala LA kufanya miujiza ni ngumu labda uwe unafanya meditation kwa kutumia astral inawezekana ila usizuru watu au kuzionyesha maana nguvu hizi ni kubwa sana hazina kiwango mfano kufaham mambo yanayokuja mbeleni kubwa na speed like the flash or sonic ,macho kuwa yanatoa mwanga, mikono kuwa na nguvu zisizo za kawaida, na kuwa na nguvu za kuelea angani,kupoterea (teleport), kuwa mbunifu,kuwa na uwezo wa kuponya jeraha na isibaki hata alama ndani ya sekunde moja ukiwa na nguvu majini wala wachawi hawata kusogerea nguvu ya mwisho kabisa ambayo hata ufight vipy kuipata tz ni kumfufua marehemu hii mungu anajua siri pekee hata maraika ukiwauliza watakwambia hii huruhusiwi kuifahamu maana itatumika vibaya kama baadhi ya wanadam wanaoitumia nguvu hiyo kwa kutumia majini sio jambo zuri kabisa maana kuna baadhi ya majini ambao mungu aliwapa nguvu za kuamsha wafu na hata baada ya kufukuzwa mbinguni waliachiwa nguvu hizo ingawa sio kwa kiwango kikubwa ni kwa kiwango kidogo sana na baadhi walinyang'anywa kabisa nitaendelea kuwajuza mengi zaidi ingawa kuna watu mnakata tamaa baada ya kuongopeshwa kwa maneno ya watu pia kuna wengi mlijalibu hamkufanikisha wengine mlijalibu mkahisi kiu mkameza mate kuna baadhi uzalendo uliwashinda mkajigeuza ASANTENI SANA TUTAKUTANA KWA AJIRI YA MAFUNZO ZAID
Haya mafunzo unatusaidiaje sisi beginners
 
Back
Top Bottom