Arajiga Mechi ameshindwa kuimudu

Arajiga Mechi ameshindwa kuimudu

Nimeangalia dakika 5 tu za mchezo, ila nimeona kabisa hii mechi imemshinda na ameshindwa kumudu. Ni Ubabe tu na kutoa Macho kwa wachezaji ndio kitu anajua.
Yaani dakika ya 10 tu umeshskimbilia kuanzisha uzi wa malalamiko?
 
1751219927389.jpg
 
Nimeangalia dakika 5 tu za mchezo, ila nimeona kabisa hii mechi imemshinda na ameshindwa kumudu. Ni Ubabe tu na kutoa Macho kwa wachezaji ndio kitu anajua.
waletwe marefa waarabu mechi zote za YANGA!
hawa marefa wa kibongo hawawezi kumudu mechi za YANGA!
 
Back
Top Bottom