Uwajibikani ni kitu ma dictator hawakitaki wala hawataman kukitamka, Karia angevunja ile bodi na kamati zake za remote hii derby ingepigwa bila shidaTFF wasiwe na ubabe wa kijinga ambao hauwezi saidia. Watafute meeting point na Yanga. Nadhani viongozi wa Bodi ya Ligi wakiachia ngazi Yanga watawashawishi wanachama na mashabiki na mechi itachezwa. TFF walishalemaa kufanya madudu na kukimbilia serikalini, safari hii inasemekana Rais hataki kusikia hayo mambo. Kama TFF na Bodi ya ligi wanadhani walikuwa sahihi kuahirisha mchezo basi vyombo vya kimpira ndiyo vitumike kutatua huu mgogoro badala ya kwenda serikalini
Huoni kwamba wewe ndio mbumbumbu makamu kumuamrisha mwenyekiti wakeKama mbumbumbu huwezi kuelewa
Msimu ujao sisi TFF tunakuja na klabu ambayo haimiliki uwanja wa mazoezi hakuna kucheza ligi. Anzeni kuboresha pale kaunda ,aah.Yanga ni kubwa
Kwamba uto inamiliki Avic town? Umeishia la ngapi hujui maana ya kumiliki?Avic town ni Kwa baba ako
Sio kwangu lakini je Uto inamiliki Avic town?Avic town ni kwako
Watoto mliosoma vyuo kariba ya Amazon College mna taabu sana, yaani unamlinganisha Prof Kabudi ambaye ni nguli wa sheria za katiba nchini na mwaka 2011 wakati UDSM inatimiza miaka 50 alitunikiwa tuzo kama mwanafunzi bora wa muda wote kwa kutwaa tuzo ya Outstanding GPA kwa kumiliki GPA ya 4.9,unamlinganisha na huyo shombe,angekuwa na connection kali si angeteuliwa mbunge kisha Waziri kama alivyofanyiwa Kabudi? Kuhusu connection kwenye mambo ya mpira Karia ni habari nyingine,yeye kunywa chai na Infantino ni kitu cha kawaida.Ndio maana rais wako ameungana na wengine kutaka apite bila kipingwaArafat Haji ndo makamu wa Rais wa Young Africans
Arafat Haji ni msomi haswa akiwa mtaalam wa uchumi na Tehama
Amepata Masters yake ya IT kutoka Conventry University
Arafat ni Mkurugenzi mtendaji wa shirika la Nina Zanzibar na CEO wa PBZ bank, yaani ulisema connection serikalini au eti TFF watishie serikali anakaa anawacheka tu
Arafat Haji anashinda pale Kizimkazi anakula kiyoyozi uje umtishie na hao akina Karia na Kabudi
Arafat Alitoka kauli 1 baada ya Derby kuhairishwa Kwa HATUCHEZI
Viongozi wa bodi ya ligi na TFF wanahaha kila siku vikao, Leo walikuwa na professor wa jalalani Bado Arafat Haji alivofika akakataa
TFF wamemuomba Eng Hersi lakini akawajibu huyu Mzanzibar ashakataa yaani hataki kusikia habari za kurudia derby
Eng Hersi Said amemuomba Arafat Haji alegeze msimamo ila Arafat Haji amegoma na anasema HATUCHEZI
Arafat Haji ndo Mzanzibar wa kweli akisema NO harusi nyuma
Moto unawaka na Karia alivojibu pumba, Sasa ndo akaongeza petrol kwenye kifuu
Heko! Kwako Arafat Haji, kiongozi mahiri kutoka Zanzibar
Unaifia Yanga ukweli
HATUCHEZI
Yanga bingwa
Professor wa jalalani nae ni mtu wa kutambiaWatoto mliosoma vyuo kariba ya Amazon College mna taabu sana, yaani unamlinganisha Prof Kabudi ambaye ni nguli wa sheria za katiba nchini na mwaka 2011 wakati UDSM inatimiza miaka 50 alitunikiwa tuzo kama mwanafunzi bora wa muda wote kwa kutwaa tuzo ya Outstanding GPA kwa kumiliki GPA ya 4.9,unamlinganisha na huyo shombe,angekuwa na connection kali si angeteuliwa mbunge kisha Waziri kama alivyofanyiwa Kabudi? Kuhusu connection kwenye mambo ya mpira Karia ni habari nyingine,yeye kunywa chai na Infantino ni kitu cha kawaida.Ndio maana rais wako ameungana na wengine kutaka apite bila kipingwa
Kuna siku utatushangaza weweMe sitabiriki dogo
Deni la Taifa limefika trillion 97.35Yaani wabongo nyie ni wapumbavu na wajinga sana aisee! Huu upumbavu wenu wa simba na yanga hauwezi kuukuta katika derby Liverpool na Manchester United au real Madrid na Barcelona huu upumbavu upo Afrika tu hususani Tanzania. Kenge nyie na usimba wenu na uyanga wenu
Naunga mkono. Kuna upumbavu mwingi sana kwenye hivi vilabu viwili, bahati mbaya pia wanasiasa wanachangia sanaYaani wabongo nyie ni wapumbavu na wajinga sana aisee! Huu upumbavu wenu wa simba na yanga hauwezi kuukuta katika derby Liverpool na Manchester United au real Madrid na Barcelona huu upumbavu upo Afrika tu hususani Tanzania. Kenge nyie na usimba wenu na uyanga wenu
i ya kisheitwani kabisaNaunga mkono. Kuna upumbavu mwingi sana kwenye hivi vilabu viwili, bahati mbaya pia wanasiasa wanachangia sana
Umesoma chuo gani?Professor wa jalalani nae ni mtu wa kutambia
Ubunge na uwaziri Kuna watu wanavikataa hivo vyeo